VIGOGO watatu ambao ni watu wa Karibu sana na Rais Samia wote wamefurushwa Ikulu siku ya jana ambao ni Mshauri wa Rais Sheria, Mshauri wa Rais Siasa na Mshauri wa Rais Habari na Mawasiliano.
Uamuzi huu mgumu huenda kuna jambo kubwa tusilolijua hasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi wa 2025...
President Samia Suluhu Hassan has reshuffled her inner circle by transferring four members of the presidential office to other government positions.
The changes, announced by the office of the Chief Secretary yesterday, affect the President's Private Office (OBR). Zuhura Yunus, the Director of...