pf3

Phosphorus trifluoride (formula PF3), is a colorless and odorless gas. It is highly toxic and reacts slowly with water. Its main use is as a ligand in metal complexes. As a ligand, it parallels carbon monoxide in metal carbonyls, and indeed its toxicity is due to its binding with the iron in blood hemoglobin in a similar way to carbon monoxide.

View More On Wikipedia.org
  1. A

    Changamoto ya PF3 kwa miaka 15+ [2008-2024] Tafsiri yake ni nini ?

    Habari za muda wakuu. Kwenye kupitapita humu mtandaoni nimekutana na uzi wa wadau mbalimbali katika nyakati tofauti tofauti Ukizungumzia upatikanaji wa huduma ya afya ambayo ni muhimu sana kwa majeruhi wowote iwe ni wa ajali,wizi, nk ambayo inalenga kuwapatia taarifa za majeruhi na tukio...
  2. F

    SoC04 PF3 na pesa zisiwe Mbele ya uhai wa mtu. Uhai wa raia ni Bora kuliko "makaratasi"

    Naandika maneno haya nikiwa kwenye maumivu makali Sana. Nimempoteza mtu wa muhimu sababu ya PF3. PF3 Ni kiungo gani kwenye afya ya binadamu!!?? Natamani makala yangu isomwe na nchi nzima Kisha mnisahihishe pale ninapokosea, huenda Ni maumivu ndo yanaandika haya, Ila Hata niandikaje Hawezi amka...
  3. Colin the creator

    SoC04 Mabadiliko katika utoaji wa Police form no 3 (PF3)

    UTANGULIZI: Fomu ya Polisi namba 3 (PF3) nchini Tanzania ni hati rasmi inayotumiwa na polisi kuandika ripoti za matukio mbalimbali yanayohusisha madhara ya mwili au ajali. Inatumika kama chombo muhimu cha kudokumenti na kurekodi taarifa muhimu zinazohusiana na matukio hayo. PF3 inajumuisha...
  4. Sildenafil Citrate

    Serikali kuja na utaratibu mpya wa utoaji wa PF3 kwa kutumia TEHAMA

    Mganga Mkuu wa Serikali, Profesa Tumaini Joseph amesema Serikali ina mkakati wa kutumia TEHAMA ili PF3 ziwepo kwenye mifumo ya utoaji huduma za hospitali ili kusaidia wagonjwa kupata huduma kwa wakati. Mdau wa JamiiForums.com kupitia shindano la Stories of Change (2023) aliwahi kushauri mambo...
  5. BARD AI

    Utoaji Fomu za PF3 bado una utata Nchini licha ya agizo la Serikali tangu miaka 7 iliyopita

    Miaka saba tangu Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu alipoagiza fomu ya Polisi namba tatu (PF3) kutolewa hospitalini na miaka miwili baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kutaka mabadiliko ya utaratibu wa kudai fomu hiyo kabla ya tiba kutolewa, utekelezaji wa maagizo hayo umegubikwa na utata. Agosti 22...
  6. Colin the creator

    SoC03 Mabadiliko na uboreshaji katika utoaji wa PF3 (Police Form no 3)

    UTANGULIZI: Fomu ya Polisi namba 3 (PF3) nchini Tanzania ni hati rasmi inayotumiwa na polisi kuandika ripoti za matukio mbalimbali yanayohusisha madhara ya mwili au ajali. Inatumika kama chombo muhimu cha kudokumenti na kurekodi taarifa muhimu zinazohusiana na matukio hayo. PF3 inajumuisha...
Back
Top Bottom