pgo

PGO Automobiles is a French car manufacturer, producing exclusive series' of sports cars. The brand operates in the same special market as Wiesmann, and Donkervoort. Their cars are considered an appropriate solution for connoisseurs seeking individuality and style.
The French brand was launched in 1980 by three avid automobile fans: the brothers Patrick, Gilles and Olivier Prévôt whose initials formed the brand name: PGO
PGO began production by manufacturing replicas but soon moved on to substantiating their own designs into full-scale vehicles.
The first of these was the Speedster II, this was a two-seater sports car in a retro-style but with a modern specification. It was first seen at the 2000 Paris Motor Show.
By 2005 51% of the company had been purchased by subsidiaries of the Al-Sayer Group, whose financial support allowed increased product research and development and resulted in the Cévennes roadster. The Cévennes was notably featured in the video game World Racing 2.
At the 2008 Paris Motor Show, a new model was launched called the Hemera.

View More On Wikipedia.org
  1. kagoshima

    Kwanini polisi wameweka pembeni PGO na kuamua kukamata raia kwa kutumia nguvu kubwa? Je, nao hawaamini mfumo wa Sheria?

    Kuna mtindo mpya wa polisi napengine idara zingine za usalama kuvizia, kukimbiza raia wenye tuhuma za makosa. hata high profile citiezen ambao wangeweza kupigiwa simu na wange report kituoni bila shida nao wameonekana kukimbizwa kama vibaka. Na wakati mwinge wakiwa kwenye kundi kubwa na silaha...
  2. Msanii

    Kamanda Muliro please trade carefully na wananchi. Polisi waishi ndani ya Katiba, Sheria na PGO imani irudi

    Kamanda Muliro nafahamu unasoma hapa jukwaani. Inawezekana mmejiundia ama kujijengea kasumba kwamba wanasiasa wanafurahia kazi yenu ya kutumia nguvu bila mizania. Mmekuwa mkiwakandamiza na kuwadharau sana wananchi wanapoonewa na askari wa chini yenu. Mmejipa majukumu ya kisiasa kinyume na...
  3. I

    Baada ya Boniface Jacob kukamatwa na polisi bila kuzingatia sheria tujikumbushe sheria za ukamataji wa polisi (PGO)

    ZIFAHAMU SHERIA ZA MSINGI UWAPO MIKONONI MWA POLISI IMEANDALIWA NA MAWAKILI 1. Askari akikuweka chini ya ulinzi muulize kitambulisho ni haki yako. 2. Askari akikukamata akuoneshe kitambulisho chenye muhuri wa mahakama kama anasema ametumwa na mahakama kukumata, ni haki yako. 3. Askari...
  4. Ileje

    Kuna haja Police General Orders (PGO) ziwekwe hadharani kwa matumizi ya umma

    Mara nyingi watu hufanyiwa vitendo vya hovyo, udhalilishaji na kunyimwa haki zao za kisheria na kikatiba na polisi wetu kwa kukosa uelewa wa PGO. Hali hii hufanyika kwa makusudi na polisi ama kwa polisi kusahau au kutokuifahamu PGO. Kwa wananchi kuifahamu vizuri PGO watakuwa katika nafasi nzuri...
  5. nyboma

    Tetesi: Za ndani kabisa mkuu wa PGO muda wowote kulikwa Kadi nyekundu akifuatiwa na namba tatu katika tasnia hiyohiyo

    Boss wa wale jamaa wa PGO anaenda kupata red card. Mzanzibari aliyepata ukamishina hivi karibuni anachukua viatu vyake Mpare mwenzangu naye hana siku nyingi aanze kupiga jeramba siku yake ipo karibuni. Mama kaamua kusafisha masalia ya Mwendazake hakika anaupiga mwingi sana.
  6. TheDreamer Thebeliever

    Nimekosa vya kusoma leo,naomba mwenye soft copy ya PGO swahili version (Polisi General Order) .

    Habari wadau..! Naombeni desa la Polisi General Order tena ikiwezekana la kiswahili nataka nipitie pitie kwa ajiri ya afya ya akili.
  7. Ileje

    Kwa nini ofisi zote za ma-RPC na OCD mezani kuna kitabu cha Ilani ya CCM na hakuna PGO?

    Nimeingia ofisi nyingi za ma-RPC na OCD hapa nchini, kitu utakachokiona kwa haraka na uwazi kabisa juu ya meza zao ni Ilani ya CCM. PGO ambayo ndiyo inayotoa mwongozo wa utendaji wao wa kazi za kila siku utaiona kwenye shelf. Ni kwa bahati mbaya au kutokujua kwa viongozi hawa wa askari kuwa...
  8. Rapherl

    Police General Orders(PGO) ni nini, nitaipata wapi?

    Wadau, Mwenye softcopy ya mwongozo wa utendaji kazi katika jeshi la polisi (Police General Order) naomba anisaidie kuiweka hapa au anitumie kwenye email theweeknd9911@gmail.com Asante. ==== Police General Orders (PGO) ni nini? Ni kanuni za mwongozo wa utendaji kazi wa Jeshi na Polisi. Ofisa...
Back
Top Bottom