philemon sarungi afariki

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Picha: Tundu Lissu na Godbless Lema wakutana na Zitto Kabwe na Abdulrahman Kinana kwenye msiba wa Profesa Sarungi

    Wakuu, Naona huu msiba wa Profesa Sarungi unaendelea kukutanisha magwiji mbalimbali wa siasa hapa nchini. Soma pia: Tundu Lissu afika nyumbani kwa Sarungi kuhani Msiba, wakutana na Mzee Kikwete, wasalimiana Baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa, akiwemo Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Tundu...
  2. Erythrocyte

    Tundu Lissu afika nyumbani kwa Sarungi kuhani Msiba, wakutana na Mzee Kikwete, wasalimiana

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ameonesha heshima na kumkumbuka Profesa Philemon Sarungi kama mtu mwadilifu na mtumishi wa umma aliyeitumikia nchi kwa uadilifu mkubwa. Soma Pia: Profesa Philemon Sarungi afariki Dunia Lissu katika msiba huo amekutana na...
  3. G

    Kwanini CCM imejitenga na msiba wa Profesa Sarungi??

    Prof. Sarungi amelitumika taifa hili ktk ngazi na nyadhifa mbalimbali. 1. Amekuwa daktari bingwa wa mifupa. 2. Amekuwa mbunge na waziri ktk wizara tofauti. 3. Amekuwa RC ktk mikoa tofauti. 4. Amekuwa mwanachama wa ccm mtiifu ktk uhai wake wote. Ni kwann serikali inayoongozwa na Samia imejitenga...
  4. Mindyou

    Picha: Viongozi wa CHADEMA wakiongozwa na John Heche wafika nyumbani kwa Marehemu Philemon Sarungi kutoa faraja kwa familia

    Wakuu, Leo tarehe 06 Machi 2025 Makamu Mwenyekiti Bara wa CHADEMA John Heche na Naibu Katibu Mkuu Bara Amani Gulogwa wamefika nyumbani kwa marehemu Prof. Phillemon Mikol Sarungi kutoa pole kwa familia. Prof. Phillemon Mikol Sarungi amefariki jana tarehe 05 Machi 2025.
  5. 3 Angels message

    TANZIA Profesa Philemon Sarungi afariki Dunia

    Mwanasiasa mkongwe na waziri wa zamani Profesa Sarungi amefariki dunia Habari hii imethibitishwa pia na mwanaye Maria sarungi pamoja na msemaji wa familia, Martin Leonard Obwago Sarungi. Prof. Philemon Sarungi amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 89. Aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Rorya...
Back
Top Bottom