Mwanasiasa mkongwe na waziri wa zamani Profesa Sarungi amefariki dunia
Habari hii imethibitishwa pia na mwanaye Maria sarungi pamoja na msemaji wa familia, Martin Leonard Obwago Sarungi.
Prof. Philemon Sarungi amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 89.
Aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Rorya...