Philip Isdor Mpango (born 14 July 1957) is a Tanzanian economist and politician who serves as the Vice-President of the United Republic of Tanzania. He was sworn into office on 31 March 2021, following unanimous consent of the Tanzanian Parliament, and having been nominated by President Samia Suluhu on 30 March 2021. Before that, he served as the Minister of Finance and Planning in the Tanzanian Cabinet, from March 2015 until 30 March 2021.
Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango amewataka wananchi wa Kijiji cha Kasumo wilayani Buhigwe mkoani Kigoma kuutambua na kuuthamini mchango wa Serikali katika maendeleo ya huduma za kijamii wilayani humo.
Makamu wa Rais amesema hayo alipotembelea ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana Kahimba...
Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amewataka vijana nchini waliobahatika kuwa na wazazi walio hai kujenga utamaduni wa kuwatunza, kuwalea na kuwaonyesha upendo akimtaja mzazi kama kiungo muhimu katika familia na wakili wa Mwenyezi Mungu hapa duniani.
Dkt Mpango ameyasema wakati wa ibada ya misa...
Sitaki salamu, naingia kwenye mada moja kwa moja. Wahenga walisema akutukanaye hakuchagulii tusi na asiyekutaka hakuambii toka bali atakutoa kwa visa ovu dhidi yako.
Kabla ya kwenda mbali kwanza naomba ku declare intrerst kuwa mm ni mwanaCCM kindakindaki na juzi nilikuwepo ndani ya ukumbi kule...
Rais Samia ambaye amesafiri kwenda Jijini Rio de Janeiro nchini Brazil 16 Novemba, 2024 kwa mwaliko wa Rais wa Brazil, Luiz Inácio Lula da Silva kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa nchi Wanachama wa Kundi la G20, amezungumza na Wananchi kufuatia kuporomoka kwa ghorofa...
Aman iwe nanyi wana MUNGU
Kwetu sisi wakatoliki ndoto kubwa kabisa kuliko zote ni kuwa Padre usalishe Misa
Kuna mkatoliki mwenzagu ambaye hata leo sijamuona kanisan pale parokian kwetu Philip mpango et kumbe naye alikuwaga anasomea upadre
Ndo huwa najiuliza alikuwaga Sirius au matan tu...
Makamu wa Rais wa Tanzania, Philip Mpango, ameshiriki Ibada ya Misa Takatifu ya Kumbukizi ya Baba wa Taifa, Hayati Julius Kambarage Nyerere, katika Kanisa la Mt. Francis Xavier, Nyakahoja, Mkoa wa Mwanza.
Katika hotuba yake, Mpango amewahimiza wananchi kujiandikisha kwa wingi kwa ajili ya...
1. Lesotho ni nchi inayozungukwa na Afrika Kusini kila upande.
2. Leo tarehe 4 Oktoba 2024 inatimiza miaka 200 toka kuundwa kwake na Mfalme Moshoeshoe I.
Tunashukuru Kwa kutuwakilisha.
==========
Maseru, Lesotho – 4 October 2024
The Vice President of the United Republic of Tanzania, Hon. Dr...
Dr. Philip Mpango alikuwa waziri wa Fedha wakati wa utawala wa Rais John Magufuli, ambapo alionesha uwezo wa kipekee katika kusimamia masuala ya kifedha ya nchi.
Katika nafasi yake, alifanya kazi kubwa katika kuimarisha ukusanyaji wa mapato na kuendesha mipango ya maendeleo, na hivyo kuwa...
Huyu Mkatukumeni na Mlei mwenzangu ambaye ni Makamu wa Rais wa JMT sijawahi kumsikia aki address jambo lolote liwe kubwa au dogo hasa kama linagusa maisha na hisia za Raia.
Ama kwakuwa sifahamu protocali za uongo pengine ndio sababu.
Mh Dr Mpango sema chochote kuhusu Kadhia hii inayoendela na...
Wataalam wa Masuala ya Protokali na Katiba ya Nchi tunaomba Maelezo yenu ili tuelewe, Siku tutakuja kuambiwa Mkuu wa Wilaya ya Chakechake au Kizimkazi Kamwakilisha Rais Nchi Fulani.
Ikiwa Makamu wa Rais wa Tanzania yupo na ni mzima wa Afya, inakuwaje mtu asiye na cheo chochote Tanzania...
Sina taarifa za Marais wa nyuma kuwa walikuwa wanashabikia timu ipi, ila najua Nyerere alikuwa Yanga, Kikwete alikuwa Yanga, Magufuli na Samia ni Simba.
Ila usingewasikia wakitamka kuwa upande wowote, Kikwete baada ya kustaafu ndio alijitokeza hadharani kwenye mkutano Diamond Jubilee na...
Akiongea mbele ya Rais Samia Ikulu leo July 26, 2024 wakati wa uapisho wa viongozi walioteuliwa Makamu wa Rais Philip Mpango amesema;
Pia soma: Rais Samia: Cheo ni sawa na nguo ya kuazima ambayo siku yoyote mmiliki wa nguo anaweza kuichukua!
“Niwapongeze wote walioteuliwa mmepewa dhamana kubwa...
Utangulizi
Tanzania, nchi yenye maliasili tele, hata hivyo bado ipo katika hatua muhimu ya mabadiliko ya kiuchumi. Lengo ni kuwa miongoni mwa nchi zinazojitafutia maendeleo ya kiuchumi. Ili kufikia maono ya "Tanzania Tuitakayo"katika kipindi cha miaka 5, 10, 15 hadi 25 ijayo, ni muhimu...
Masuala ya muungano nchi yamewekwa katika ofisi ya makamu wa Rais ambapo pia kuna wizara na waziri anayeshughulikia muungano na mazingira.
Sijui kwa nini serikali wameweka muungano na mazingira kama jambo moja lakini kwa sababu kuna hii wizara tayari inabadi mawaziri wake wakishirikiana na...
Hili ni tukio kubwa na yeye ndio muhusika mkuu na ndio mwajiri mkuu kama sikosei kwa watumishi wa umma.
Swali ni je, yuko wapi na anafanya nini au nini kimemsibu?
===
Pia soma:
Dkt. Mpango: Serikali imepokea hoja ya kuboresha kikokotoo kwakuwa wafanyakazi hawaridhishwi na kanuni zake
Bohari ya Dawa (MSD) imeshiriki Mkutano wa Kimataifa wa Magonjwa ya Moyo ulioandaliwa na Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete na kuwakutanisha Madaktari Bingwa, wataalam na wadau wa afya, wauguzi na watunga sera kutoka mataifa zaidi ya 40 Duniani kwa lengo la kujadiliana na kubadilishana uzoefu...
Najua sitamkwaza Mzee wangu Filipo, ila namshauri tu, kama ataona bado ka afya kanaleta leta shida, amfate mama amwambie kwamba atafute mtu mwingine wa kupiga naye jaramba 2025. Afya ni muhimu kuliko chochote.
Yeye abaki na kazi ya kushauri, na pia apate muda wa kutosha kuangalia afya yake...
Salaam, Shalom!
Leo ni jumapili njema sana, hatimaye tumeungana tena na mpendwa wetu ndugu Philip Mpango.
Ametupa ujumbe wa Leo Kutoka kitabu cha (Zaburi 118:17) usemao:
SITAKUFA,BALI NITAISHI, NIUSIMULIE WEMA WA BWANA.
Na kuusimulia wema wa Mungu ni katika Nchi Walio hai, maana imeandikwa...
Some Tanzanians have expressed concern over the whereabouts of Vice-President Philip Mpango, who has not been seen in public for over a month.
He was due at a science conference on Wednesday in Arusha but was instead represented by a cabinet minister.
His disappearance from public view has...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.