Taasisi ya North Mara community trust fund. Iliyopo wilayani Tarime kuna mambo yanayoendelea yasiyo ya haki hasa kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali walio chini ya mpango wa maendeleo endelevu.
Wamekuwa wakilipiwa ada na taasisi hiyo lakini kwa mwaka huu ulipaji huo umekuwa wa mashaka sana kwa...