Hello!
Mnaendeleaje wana jamii forums …kama kichwa cha habari kinavo jieleza hapo. Kwa anae famam namna maswali yanavotoka kwenye written pamoja na kwenye oral interview
Msaada 🙏
Sasa wazee habari zenu kwanza, Heri ya mwaka mpya,
Kwa upande wangu baada ya hii AI ya Deepseek kuvumbuliwa nikajua labda inaweza kuleta school of thought mbadala kabisa kwenye hill swali pendwa kwa kila mwanadamu mwenye akili timamu.
Sasa mbona kama majibu ni yale yale hata kwenye Chat AI...
I have viewed a certain article from a certain website in Tanzania , and I was very interested with the piece of content , unfortunately the piece of content was very short. And I would like to get more information through this forum ,
Philosophy is a great tool for creating an active mind in...
The right to peaceful protest is also important for people to know what is going on in society. Sometimes this is the only means that people have to make their voices heard and to try finding solutions to underlying issues, and to work towards a better life for all.
Hongera Chadema, philosophy...
1. Abstract
The Tanzanian dream toward a republican constitutional democracy mandates each and every citizen, including the secret service staff, whose discipline is managed, based on the regulations constituting the code of conduct for the secret service staff, by the Director General of...
Watu mliosoma Sociology Tafiti zinaonesha nyie ni watu wa kurizika sana ndo maana PhD ni chache mno za Sociology with philosophy.
Nchi inahitaji kuongozwa na wanasosholojia matokeo yake mnaacha wachumi wanatuongozea nchi
Wachumi wanajua nini kuhusu Jamii? Hawaelewi kitu kuhusu nature of human...
(Bachelor's of art in philosophy and political science)
mdog wang amechaguliw hii koz ninaomba ufafanuz wa mambo atakayo jifunza na fursa zake kweny soko la ajira!
Wakuu,
Moral philosophy ni tawi la falsafa linalohusu nadhalia za maadili (Ethics) na kanuni za maisha. Falsafa hii inamtaka mtu mtu kufanya maamuzi yake kwa kuangalia/kupima faida na hasara, uzuri na ubaya, Haki na dhuruma, na jinsi maamuzi yake yanaweza kuathiri wengine.
NB: mtu...
Imagine for a moment that you have unlimited resources at your disposal - unlimited time, unlimited money, unlimited knowledge, and unlimited abilities. What would you do with this abundance?
Would you travel the world? Start a business? Pursue a passion project? Help those in need? Or would...
Kuna hoja ya kuthibitisha uwepo wa Mungu, hoja ambayo imeegemea zaidi katika kutumia vitabu vya dini kama uthibitisho
Ni hoja ambayo ime base kwenye imani ya kusema Mungu amejidhihirisha uwepo wake kwa binadamu kupitia uumbaji au maandiko matakatifu.
Watu wamekua waki experience hayo...
Differences And Similarities Between Nyerere And Plato On Philosophy.
Plato and Nyerere seem to develop some similar ideas on the understanding of education. However, there are necessarily also differences between them and in their approach to education. Obviously, what makes them differ is...
Wale wanaobeza wengine kwa kuwaita MATAGA wanafanya hivyo wakielewa hata maana ya neno MATAGA "Make Tanzania Great Again"?
Taifa lilikuwa linaielekea kubaya hadi 2015, na watu tulitaka mwelekeo mpya wa nchi yetu.
Doctrine ya MATAGA ni kujenga nchi yenye sifa zifuatazo:
Viongozi watakaoweka...
Wakuu habarini za jioni, naombeni mnisaidie desa za Principles of Education, History of Education, Comparative Education, Sociology of Education, Philosophy of Education.
Naombeni hasa zile ambazo zinatumika kama slides za kufundishia Chuo Kikuu.
Natanguliza shukrani
Nchi yaweza kuchukuliwa kama kiumbe ambacho kina baathi ya sifa ambazo mwanadamu anazo na sifa ambazo haiwezi kuzipata kutokana limitation ya kwamba nchi inaexist katika mind construct ( shared belief) kwamba watu ambao wapo ndani ya mipaka ambayo inaweza kuwa physical au imaginary line drawn...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.