Meet the man dubbed “Animal Whisperer,” a photographer and adventurer who’s mastered the art of taking selfies with exotic animals.
Originally from Ireland, Allan Dixon has been travelling around the globe to capture smiling snaps with different animals and his photo collection is simply an...
Habari zenu viongozi, nina shida moja kwa wale ambao wanajua vizuri kuhusu swala la upigaji picha na vit vingine kam hivyo, naomben mnisaidie hata wa ushauri tu.
Nilikiwa nina wazo la kuinvest katika upigaji picha chuoni, naomba mnisaidie vifaa vya msingi kuwa navyo ni vipi na bei zake...
Habari wana jamii Ni matumaini yangu ni wazima wa Afya Kikiwa kimepita kipindi kirefu toka Nilete maombi kwenu.
Niseme tu Asante Kwa waliokuja na kunipa mawazo na kunisahauri ila Nakuja tena mbele yenu kwa unyeyekevu Nikiomba ni mpate muwekezaji ili kuweza kulikamilisha wazo langu Baada ya...
Director of photography killed, movie director injured after Alec Baldwin discharged prop firearm on movie set
By Sandra Gonzalez, CNN
Updated 7:17 AM ET, Fri October 22, 2021
Alec Baldwin fired prop gun that killed 'Rust' crew member
Alec Baldwin fired prop gun that killed 'Rust' crew...
Habari zenu wote, naitwa Rey.
Dhumuni la post hii ni kutoa nafasi kwa watu au kundi au kampuni kuweza kuweka pesa yao katika mzunguko wa biashara na in return, kupata pesa yao na some %in cash.
THE PROJECT
• Project inahusiana na Media marketing, ambayo kwa sasa mambo mengi yanafanyika...
Mimi ni kijana wa kitanzania Lengo La Kuja hapa ni kuomba msaada wa uwekezaji katika biashara ya VIDEO PRODUCTIN, PHOTOSHOOT and GRAPHICS DESIGN ili aweze kusaidia upatikanaji wa vifaa vitakavyo wezesha kufanya kazi vyenye thamani ya shilingi 6M (Million Sita).
Mtaji wangu utakuwa ni Uaminifu...
Habari za leo wana Jamii Forum!
Ninatafuta sehemu ya kufanya kazi full-time kama mpiga picha (Photographer) au mtengeneza videos (Videographer) iwe kampuni binafsi au shirika lolote.
Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 4 sasa, ni nina uwezo mzuri pande zote (picha/video)
Iwe Dar es Salaam, Arusha au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.