php

  1. Binadamu Mtakatifu

    Natoa huduma ya Pharmacy na laboratory php automated system

    Nipo kwenye last steps kukamilisha hiyo system ambayo inaweza fanya hivi- 1-create users with different roles and permissions 2-add stock 3-sell stock 4-truck proft and usage 5-view and export reports And more In lab section Track participant from reception to doctor, lab n.k Sina...
  2. Binadamu Mtakatifu

    Project for PHP beginners Notes MS with source code

    Heloo hii project ni very simple na niliiunda kipindi najifunza PHP, ni system ambayo itatake user notes na kusave kwenye database, na kuzishow kwa user ina admin panel pia ina user information settings Source code Inapatikana HAPA Pia unaweza itumia kwa kuanzisha mtandao wako (tovuti)...
  3. NetMaster

    Hali ni mbaya kwenye ubunifu wa Programming kwa wahitimu wa IT Tanzania, Roughly 80% wanaishia kujua html tu.

    Wengi huwa wanaambulia html tena ile basic kabisa, wachache angalau wataongezea php, javascript, wachache sana hawa wenye passion ndio wataingia mpaka kwenye python, c#, c++, java... Hapa nazungumzia kuelewa kwa lengo la uundaji na ubunifu sio kukariri tu kwajili ya test kisha baada ya hapo vina...
  4. v0il0r

    Kijana mchapakazi, mwanifu na mbunifu

    .
  5. R

    PHP project nawezaje kurun php code ioneshe website na sio index of site?

    Habari wadau !! Hope mpo poa sisi tupo bado tunapambana na maisha sasa naomba kujuzwa niwezaje kuload au kurun site as site in PHP using XAMPP nota s index of site Niliwahi kusoma coment moja ya mdau kuna wakati ni lazima usome code za watu ili uwe improved na kurahisisha kazi sasa hio php...
  6. Kuchwizzy

    Python Vs PHP Ipi inanifaa ? (All beginner's questions) Episode 1

    Hello Tech members Moja kati ya maswali yanayojirudia rudia sana kwenye ulimwengu wa Teknolojia ni "Nijifunze kipi Kati ya Language Y na Language X Au kati ya Framework Y na Framework X?" Kwa beginner, hii ni dilemma ambayo hana hakika njia ipi ni salama au sahihi kwake Kwenye Web...
  7. Rchesse

    Nijifunze php au node js na express?

    Mimi ni mwanafunzi diploma in computer science. Nimeangalia google, kwa nchi nyingine php ni kama ya kizamani kidogo na wengi hawa recommend. Lakini kuna mtu kaniambia tanzania website nyingi bado zinatumia. Je, hili ni kweli?, Kwasababu naogopa nisije soma kitu ambacho kwenye mazingira yangu...
  8. mathsjery

    Php homework, don't forget laravel framework 5v+++

    Title haina maelezo sana ila uzi ni wa homework. Yeyote anayejiamini atatoa homework ili watu wajifunze kupitia homework kufanywa na ukishafanya basi tupia solution yako. usianze ushamba wa kulinganisha lugha, Wewe fanya homework, tusaishane hapa Naanza mimi. Nina form ambayo ninatatka...
Back
Top Bottom