picha mtandaoni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mwamuzi wa Tanzania

    Kijana uliyechapwa na maisha usipanic kwenye uwanja wa vita. Hao marafiki zako wanaorusha picha mtandaoni huku wameegemea magari makali wengi si yao

    Mtu dhaifu hujitutumua ili asionekane dhaifu. Mtu maskini hujitutumua ili asionekane maskini. Mtu asiye na fedha hujitutumua ili asionekane hana pesa. Pia ni tabia za Kiafrika kila mtu kutoka kujionyesha si mnyonge. Hizo picha za maeneo mazuri zisikupagaishe, hapo ni bar, restaurants, hotel...
  2. Jack Daniel

    Picha ni kumbukumbu nzuri, lakini wanaume tupunguze kujipost mitandaoni

    Salaam jamiiforum Habari za jumapili hope mko wazima. Picha ni kumbukumbu nzuri Kwa familia na ndugu tangu zamani wengi tumepiga picha na wazazi wetu ikiwa ni kumbukizi na hatua zetu za ukuaji na matukio tofauti. Mtu akiwa mtoto, akiwa anaanza shule, kupata ubatizo na kipaimara, kuhitimu...
Back
Top Bottom