piere liquid

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Watanzania waliopata umaarufu wa ghafla mitandaoni na kisha kupotea…

    Mitandao ya kijamii imetoa fursa kubwa sana kwa mtu yeyote ‘kwenda mjini’ chap. Hii ni orodha ya baadhi ya watu ambao kusingekuwa na intaneti, wasingepata umaarufu walioupata. DKT. LOUIS SHIKA Dkt. Louis Shika alijipatia umaarufu baada ya kutangaza dau la kununua nyumba za mfanyabiashara Said...
  2. S

    Simpendi Makonda kwa 100% lakini kwenye hili alikuwa sahihi kwa 100%

    Taifa hili linaangamia kwa kuendekeza mambo ya hovyo na kuwapa umaarufu watu wa hovyo. Na ndiyo chanzo cha uchawa na machawa kuenea sana hivi sasa. Huyu Peere Liquid alikabidhiwa bendera na serikali eti awe kiongozi wa mashabiki wa Taifa Stars ilipoenda kushiriki AFCON. Mambo ya ajabu...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…