Kusema ukweli, CCM ya Makala iko hoi.
Haina kabisa ubunifu, Imenunua magali mengi na kutengeneza misafara mirefu na foleni zisizo namaana lakini mitandaoni ni CHADEMA tupu.
Wana CCM wanahoji, kulikoni huko CCM iko kama hina uchaguzi?.
Kwani Makala hawezi achia ngazi ili chama kipone?. Aingia...