pilato

Fumba Chama (born 6 April 1984), known professionally as Pilato, is a Zambian hip hop recording artist from Ndola. The name Pilato written as pilAto is an acronym for People in Lyrical Arena Taking Over. Born and raised in the Copperbelt province, pilAto commenced his career as a poet at the age of 10, before formally moving into the music industry in 2010, when poetry became his music. Pilato has released three studio albums.

View More On Wikipedia.org
  1. Mributz

    Jonesia Rukya kuchezesha pambano la Simba na Yanga Aprili 16, 2023

    Mwamuzi wa kati Jonesia Rukya kutoka Kagera, ndiye atakayechezesha mechi ya watani wa jadi Simba vs Yanga itakayopigwa kesho Jumapili Aprili 16 katika dimba la Mkapa. Wasaidizi wake watakuwa ni Mohamed Mkono na Janeth Balama.
  2. Joseverest

    Mwamuzi Ramadhani Kayoko kuwa 'Pilato' mechi ya Yanga vs Simba

    SIKU chache baada ya Mwanaspoti kufichua juu ya waamuzi waliokuwa wakipewa nafasi kubwa ya kuchezesha mchezo wa Kariakoo Derby utakaofanyika April 30, 2022 katika dimba la Benjamin Mkapa saa 11 jioni, huku kikao kizito kikifanyika, ukweli umebainika kwamba mwamuzi Ramadhan Kayoko amepewa kazi...
  3. S

    Kama mke wa Pilato alikosa amani kiasi cha kumsihi mumewe asimuhukumu Yesu asie na hatia,iweje wanadamu wa leo hata nafsi haziwasuti?

    Hata Pilatio mwenyewe hakuona kosa la Yesu ila alitimiza matakwa ya waliotaka Yesu asulubiwe na akanawa mikono akasema na dhambi hiyo iwe juu yao(mstari wa 24). Kuhusu Mke wa Pilato, soma mstari wa 19 katika haya maandiko. Kisa kizima hiki hapa: 11 Yesu akapelekwa mbele ya gavana naye...
  4. H

    CCM ingekuwepo enzi za Pilato

    Utawala wa CCM ni aibu kwa Afrika, ni aibu kwa Dunia. Ulimwengu wa leo ambapo Dunia imestaarabika na kutambua kuwa wewe kuwa kiongozi haimaanishi umekuwa binadamu zaidi, mwerevu zaidi, mwananchi zaidi, mzalendo zaidi au na utu zaidi, bado CCM haijalitambua hilo. Wakati Dunia ya wastaarabu...
Back
Top Bottom