pilau

Pilaf (US spelling), or pilau (UK spelling) is a rice dish, or in some regions, a wheat dish, whose recipe usually involves cooking in stock or broth, adding spices, and other ingredients such as vegetables or meat, and employing some technique for achieving cooked grains that do not adhere.At the time of the Abbasid Caliphate, such methods of cooking rice at first spread through a vast territory from India to Spain, and eventually to a wider world. The Spanish paella, and the Central Asian pilau or pulao, and biryani, evolved from such dishes.
Pilaf and similar dishes are common to Balkan, Caribbean, South Caucasian, Central Asian, East African, Eastern European, Latin American, Middle Eastern, and South Asian cuisines. It is a staple food and a popular dish in Afghanistan, Armenia, Azerbaijan, Bangladesh, China (notably in Xinjiang), Cyprus, Georgia, Greece (notably in Crete), India, Iraq (notably in Kurdistan), Iran, Israel, Kazakhstan, Kenya , Kyrgyzstan, Nepal, Pakistan, Romania, Russia, Sri Lanka, Tanzania (notably in Zanzibar), Tajikistan, Turkey, Turkmenistan, Uganda, and Uzbekistan.

View More On Wikipedia.org
  1. Mwachiluwi

    Pilau kachumbari na matunda

    Lamomy aliniomba nipike pilau ila mambo yakaingilia leo nikapata nafasi kwanza nialianza kuanda viungo pamoja na kitunguu swahumu, hoho,karoti na kitunguu maji Wakati uho nilikuwa nimekata nyama ndogo ndogo ikiwa inachemka ilikuwa nusu na robo uswahili wanaita robo tatu Nikawa nasubir...
  2. Aaliyyah

    Jinsi ya kupika pilau la samaki

    I hope mko poa Wale wasiotumia nyama nyekundu na wapenz wa samaki pitien hapa Sikunyingine tujifunze kupika pilau la samaki 😀😀 Mahitaji Samaki Mchele Unga wa pilau/pilau masala Binzari nyembamba Giligilani ya majani Mafuta ya kupikia Vitunguu swaumu na vitunguu maji Chumvi na viazi...
  3. M

    Nikule pilau kwani mi ni zubeida mluhya ni kukula ugali

    Otikiiii 😂😂😂😂🤣
  4. Aaliyyah

    Jinsi ya kupika pilau tamu la Nazi

    Natumaini mko poa,hongereni Kwa maandalizi ya sikukuu Leo nimeandaa recipe ya pilau tamu la Nazi,karibun tujifunze MAHITAJI 1)Mchele kilo moja. 2)Nyama iliyochemshwa Mimi nilitumia nusu 3)kitunguumaji,kata kata wastani 4)kitunguu swaumu kilichosagwa4)viaz mviringo vya wastani...
  5. KING MIDAS

    Daku langu la Leo bila pilau ya Aboubakar nitasikitika sana

    Swalama ndugu zanguni? Huyu mwamba anapika sana pilau, sijui kwa sasa yuko wapi? Mwanzo alikuwa soko la Kibasila Kariakoo. Soko lilipovunjwa kupisha mradi wa Reli ya SGR akahamia Suwata. Sasa Suwata pamevunjwa sijui kahamia wapi huyu mjuzi wa mapilau nyama na kachumbari iliyochangamka?
  6. Ghost MVP

    Nani aliyesema kila Pilau linakuwa na Viazi?

    Nani aliweka Standard ya vitu hivi -Pilau lazima liwe na Viazi -Supu na chapati mbili -Chips na Mayai mawili? Mdau ongezea Kingine.
  7. Kaka yake shetani

    Pilau na biriani zinakosewa heshima sana ukilinganisha kipindi cha zamani

    Miaka 90 kushuka chini swala la pilau na biriani mpaka kuwe na sherehe au sikukuu ndio chakula kinapikwa. Watu walikuwa wapo tayari kukaa na njaa ili wale sana chakula hiko. Kwa sasa imekuwa fujo kila ijumaa ni fujo yani ukienda kwenye harusi walaji wa pilau hawapo kabisa na unaweza usipakuliwe.
  8. Kamanda Asiyechoka

    Upumbavu uliotamalaki, nimetapika pilau lote la jana

  9. Vincenzo Jr

    Nape ni mdau wa pilau, amefollow ukurasa wa ngono

    Mheshimiwa anafungia VPN kumbe nae huwa anaangalia video za Pilau 😂😂😂 credit by spana konk
  10. MamaSamia2025

    Je, unapenda pilau kuku, biriani mbuzi, nyama choma, makange ya samaki, ugali dagaa na mbogamboga? Mbinguni hazitakuwepo.

    Kuna vitu na mambo yanayopendwa sana hapa duniani ambavyo sio dhambi lakini ni kuwa hivyo vyote havitakuwepo. Kwa mfano sisi tunaopenda misosi mitamu kama ile ya Shishi food, white rose na Marry brown ni kuwa haitakuwepo. Kitu nachosikia kinatajwa tajwa ni maziwa na asali. Pia huenda kikawepo...
  11. Mohammed wa 5

    Eid haiko mbali na sisi tutalipa kisasi

    Yote sababu ya pilau😁
  12. M

    Rais Samia kuwatakia Watanzania Heri ya Pasaka huku hawana uwezo wa kula pilau na nyama ni ubatili

    Watu hawana raha kabisa. Maana hata maharage tu yamefikia elfu tatu na ushehe. Watu wana maisha magumu na wanajiona kama wakimbizi hapa nchini kwao. Hii salamu haisaidii
  13. Jade_

    Upishi wa Pilau ya Nyama na Kachumbari

    Hali zenu wana mapishi, natumai mpo salama. Wiki iliyopita nilionyesha namna nilivyopika biskuti za tangawizi. Leo nawashirikisha namna ya kupika pilau ya nyama na kachumbari. Hiki chakula kilisindikizwa na white sauce niliyopika h a p a. Ukitaka kuangalia video ya haya mapishi unaweza...
  14. MSAGA SUMU

    Biriani na pilau wako ligi mbili tofauti, pilau yuko ligi kuu biriani anacheza daraja la nne

    Kwa kipindi Cha miaka minne nimekuwa nikifanya utafiti mdogo na muhimu, ambapo nilifanikiwa kuhoji watu 500. Pamoja na mahojiano hayo pia nilikula sehemu 100 tofauti tofauti. Katika hitimisho, nimefanikiwa kukubali kabisa pasipo shaka kuwa pilau na biriani misifa wako ligi mbili tofauti, pilau...
  15. Nyendo

    Weka pembeni pilau na biriani, nipike nini siku ya Chrismas na mwaka mpya siku iwe pambe?

    Mko poa? Kama ndio jambo jema na Nafurahi kwa ajili yenu wote kuwa na afya. Imekuwa ni kawaida kama sheria kwa familia nyingi za hapa kwetu Tanzania ikiwa ni siku za sikukuu chaula ni pilau, ndizi, biriani nataka kubadilika jamani, Naomba mnisaidie chakula kingine kitamu cha kufanya siku ya...
  16. GENTAMYCINE

    Wakatoliki wenye Watoto wanaopokea Komunio ya Kwanza leo mbona hatualikani Kula Pilau?

    Nichukue nafasi hii Kuwapongeza Watoto Wote wa Kikatoliki ambao leo wanapata Komunio yao ya Kwanza. Tafadhali Wazazi wa hawa Watoto GENTAMYCINE nawaomba hebu nipeni basi Code ili nije Kula nanyi hiyo Mipalau yenu mlioipika ili niokoe Bajeti yangu ya Chakula kwa leo Jumapili. Nijibuni upesi kwa...
  17. NetMaster

    Nimeyakanyaga kwa mtoto wa kishua, napasuka kibunda kujifanya ninazo

    Nipo Mbeya kikazi hapa naishi karibu na mbuga ya mabinti wa vyuo takribani vitano huku maeneo ya forest. Ukitaka mwendo tia gia havijileti, kidume nimejikoki kwa pisi kali ya chuo lakini mziki naopitia siyo poa. Nilitaka nipige na kusepa lakini wahenga walisema ukionja asali huwezi kutosheka...
  18. amadala

    Pilau vs Biriani

    Hello Wadau!! Kati ya BIRIANI na pilau wewe unapendelea zaidi chakula kipi Kati ya hivyo viwili? Binafsi napenda Pilau. Wewe je? 👆PILAU. 👆BIRIANI
  19. N

    #COVID19 Nashauri Serikali wapike pilau na nyama pia na soda kwenye vituo vya kutolea chanjo

    Nimeona taarifa ya wizara kua chanjo itaanza kutolewa Agost 3 Nashauri Serikali yetu pendwa chini ya Rais samia, wahakikishe kwenye vituo vya chanjo kuna Chakula Napendekeza Pilau na nyama Upande wa nyama wenyewe kama ikiwepo ya kuku itapendeza zaidi lakini wa kienyeji au kama kuku itakua ni...
  20. Bushmamy

    Namna bora ya kupika pilau lenye mchanganyiko wa viazi mviringo ndani na njegere

    Nahitaji kuaandaa huo msosi, maelekezo tafadhali, na kipi niongeze humo ndani kunogesha pilau langu. Asanteni
Back
Top Bottom