Ni ukweli ulio wazi kwa sasa wabunge wa CCM wanapitia hali ngumu ya Kisiasa Bungeni kutokana na Vikao vya Waziri Mkuu kuwapa Maelekezo wakisimama bungeni wafanye kazi ya Kusifia Serikali Jambo ambalo sio sahihi Kikatiba kwa kuwa bunge ni muhimili unaojitegemea.
Pamoja na Mikwala, vitisho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.