Ni ukweli ulio wazi kwa sasa wabunge wa CCM wanapitia hali ngumu ya Kisiasa Bungeni kutokana na Vikao vya Waziri Mkuu kuwapa Maelekezo wakisimama bungeni wafanye kazi ya Kusifia Serikali Jambo ambalo sio sahihi Kikatiba kwa kuwa bunge ni muhimili unaojitegemea.
Pamoja na Mikwala, vitisho...