plastiki

The Plastiki is a 60-foot (18 m) catamaran made out of 12,500 reclaimed plastic bottles and other recycled PET plastic and waste products. Michael Pawlyn of Exploration Architecture worked on the concept design with David de Rothschild and helped to shape some of the key ideas. The craft was built using cradle to cradle design philosophies and features many renewable energy systems, including solar panels, wind and trailing propeller turbines, and bicycle generators. The frame was designed by Australian naval architect Andrew Dovell. The boat's name is a play on the 1947 Kon-Tiki raft used to sail across the Pacific by Norwegian explorer Thor Heyerdahl, and its voyage roughly followed the same route.On March 20, 2010, the sailing vessel set off from San Francisco, California to cross the Pacific Ocean with a crew of six: British skipper Jo Royle, co-skipper David Thompson, expedition diver Olav Heyerdahl, filmmakers Max Jourdan and Vern Moen, and expedition leader David de Rothschild. The expedition projected landfall in Sydney, Australia and included plans to visit several sites en route of ecological importance or which were susceptible to environmental issues caused by global warming, for instance the current sea level rise, ocean acidification and marine pollution.
Plastiki arrived in Sydney Harbour on July 26, 2010, accompanied by a small flotilla of boats. Shortly afterwards, it was towed to the Australian National Maritime Museum in Darling Harbour, where it was on display until late August.

View More On Wikipedia.org
  1. Ardhi inalia kisa chupa za plastiki

    Picha: My Camera "Hatuna dunia nyingine. Lazima tuitunze na kuihifadhi." – Wangari Maathai Kuna mdau aliandika hapa kuwa mmeamua kupamba jiji la Dar kwa chupa za plastiki. Sasa hii hapa ni Kilimanjaro na ni picha ya eneo moja Kama elimu yaijatukomboa fikra zetu basi hata sheria na kanuni...
  2. Trump kusaini agizo la kuachana na mirija ya karatasi, kurudisha mirija ya plastiki

    Wakuu, Kwa uncle Trump huko ji bandika bandua, kila siku anakuja na agizo jipya, mpaka Wamarekani watajuta kumfahamu. ==== Trump akimjibu chawa Musk kupitia ukurasa wake wa X baada ya kububujikwa na machozi ya furaha kwa kuambiwa yeye ni rais bora kabisa, amejibu kwa kusema kuwa atasaini...
  3. W

    Matokeo ya Serikali kukataza kutumia vifaa vya plastiki kununulia mafuta kutoka Petrol Station

    Ni takribani miezi miwili sasa tangu serikali ipige marufuku matumizi ya vifaa vya plastiki (vidumu vya lita tano au madumu ya lita 20) kuchukulia mafuta kutoka vituo vya mafuta. Leo katika pita pita zangu nikakutana na hili jambo ambalo sasa watu wengi ambao wana uhitaji wa mafuta wanatumia...
  4. Wanaouza bidhaa za bei rahisi, sahani za plastiki na yeboyebo au viatu vya bei rahisi, mitumba nje ya dareslaam tukutane hapa

    Wakuu hii ni mada maalum ya kupeana mbinu, updates na kushea uzoefu kwenye biashara hizi za minadani au magulio. Nina plan na mikoa ya nyanda za juu kusini kibiashara. Nataka kupeleka mitumba, vikombe vya plastiki na yeboyebo. Karibuni kwa mjadala
  5. W

    Nigeria kusitisha matumizi ya Plastiki katika ofisi za Serikali

    Nigeria imetangaza kusitisha matumizi ya plastiki leo Juni 27, 2024 katika ofisi za serikali kama hatua ya awali kabla ya kusitiza matumizi ya kitaifa kuanza Januari 2025 Kulingana na tafiti zilizofanyika na Shirika la (US Agency for International Development) zinaonyesha kuwa Nigeria ni...
  6. KWELI Matumizi ya vyombo vya plastiki kuwekea chakula au vinywaji vyenye joto kali yana madhara kwa binadamu

    Katika jamii yetu ya kitanzania asilimia kubwa inatumia vyombo vya plastiki kunywea na kulia chakula, lakini nimekuwa nikisikia kuwa plastiki ina madhara makubwa kwa afya ya binadamu, wapo wanaodai inasababisha saratani, wengine inamaliza nguvu za kiume kwa wanaume na mambo mengi. Je, ni kweli...
  7. Madaktari Muhimbili wamtoa mtoto kipande cha plastiki kwenye mapafu alichoishi nacho miezi 23

    Madaktari Bingwa wa Hospitali ya Taifa Muhimbili wamefanikiwa kutoa kipande cha plastiki kwenye pafu la kushoto la mtoto mwenye umri wa miaka 11, kupitia kifaa maalumu kinachoitwa Flexible Bronchoscopy. Kifaa hicho kinatumia mpira laini wenye kamera ya uchunguzi wa mapafu bila kuhitaji mgojwa...
  8. B

    Wapi naweza pata huduma ya kutengenezewa design yangu ya chupa za plastiki?

    Wapi naweza pata huduma ya kutengenezewa aina ya chupa za plastiki design ninayoitaji mwenyewe?
  9. SoC03 NISHATI MIX-Mashine ya kuzalisha umeme pamoja na gesi kwa kutumia Plastiki na Uchafu unaooza

    Nishati
  10. V

    SoC03 Uchambuzi juu ya uwajibikaji katika kupunguza ongezeko la taka za plastiki

    Tarehe tano mwezi wa sita kila mwaka ni siku ambayo dunia nzima inaazimisha siku ya mazingira. Mwaka huu 2023, siku hii imebeba kauli mbiu “ Pinga uchafuzi wa plastiki”.Nyaraka hii itaangazia athari za plastiki katika mazingira na afya, pamoja na uwajibikaji kwa wananchi,serikali,mashirika...
  11. Mifuko ya Plastiki yazuiwa Muhimbili

    Uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili umepiga marufuku matumizi ya mifuko ya plastiki kwa watoa huduma na ndugu wa wagonjwa katika mazingira ya hospitali (Upanga na Mloganzila) ikiwemo wodini na maeneo mbalimbali ya kutolea huduma. Kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa na Mkuu wa Kitengo...
  12. Mifuko ya Plastiki yapigwa marufuku Hospitali ya Muhimbili

    Uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili umepiga marufuku matumizi ya mifuko ya plastiki kwa watoa huduma na ndugu wa wagonjwa katika mazingira ya hospitali (Upanga na Mloganzila) ikiwemo wodini na maeneo mbalimbali ya kutolea huduma. Kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa na Mkuu wa Kitengo...
  13. Siku ya Mazingira Duniani (Juni 05): Tumeshindwa kabisa kudhibiti uchafu wa taka za plastiki?

    Maadhimisho ya Siku hii hufanyika kila Juni 05, na kwa mwaka 2023 yanaangazia zaidi Uchafu wa Mazingira unaotokana na Taka za Plastiki, na jinsi ya kukabiliana nao Zaidi ya Tani Milioni 400 za Plastiki zinatengenezwa Duniani kila mwaka. Inakadiriwa kuwa, Tani Milioni 19 hadi 23 huishia...
  14. D

    Mifuko ya plastiki imerudi kwa kasi ya 5G

    January Makamba alifanikiwa sana kuweka mikakati ya kupambana mifuko ya plastiki. Ile mieusi ya kubebea chipsi nk. Hongera kwake. Mifuko hiyo imerudi tena kwa kasi kubwa na safari hii ni rangi ya buluu bahari. Hata Waziri Suleiman Jaffo anazijua. Tunakwama wapi vita ya mazingira?
  15. RC Makalla: Msako wa mifuko ya plastiki kuanza Jumatatu Agosti 29

    RC MAKALLA: MSAKO WA MIFUKO YA PLASTIKI KUANZA JUMATATU YA AUGUST 29. - Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango Ameelekeza msako wa mifuko ya Plastiki ufanyike Mikoa yote. - Awataka Viongozi wa Masoko yote kutoa tangazo la katazo la uuzaji wa Mifuko hiyo. - Wenyeviti wa Masoko waahidi kushirikiana...
  16. Msako wa mifuko ya Plastiki kuanza upya Dar es salaam

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla ametangaza operesheni ya kukamata mifuko ya plastic iliyokatazwa huku akiwataka wananchi kujiepusha na matumizi ya mifuko hiyo. RC Makalla ametangaza operesheni hiyo leo Ijumaa Augusti 19, 2022 wakati wa kikao kazi na wazalishaji wa mifuko mbadala...
  17. SoC02 Kisiwa kikubwa cha Taka za plastic katika bahari ya Pasifiki

    Ukisikia kisiwa basi wote tunafahamu kuwa ni sehemu ya nchi kavu iliyozungukwa na maji. La hasha sio hivyo. Plastc Pacific Garbage Patch ni kisiwa kilichojitengeneza kutokana na kurundamana kwa Taka hasa za plastiki. Kisiwa hiki kinajumuisha taka nyingi za magharibi mwa pwani nchi ya Japani na...
  18. L

    Soda ya Sprite kutotumia tena chupa za plastiki za kijani ambazo zimetumika kwa miaka zaidi ya 60

    Soda ya Sprite kutotumia tena chupa za plastiki za kijani ambazo zimetumika kwa miaka zaidi ya 60
  19. M

    Dodoma: Waziri Aweso azindua miradi ya maji

    Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso ameweka jiwe la msingi katika mradi wa maji katika Kata ya Dabalo Wilayani Chamwino Mkoa wa Dodoma ambapo ametoa pongezi nyingi Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) na kwa kampuni ya PLASCO inayotengenenza matanki makubwa ya plastiki yaliyotumiwa...
  20. Serikali haikagui vyakula, kipi kinawazuia wenye migahawa kupika mizoga, mchele wa plastiki, viungo expired, mafuta ya transfoma / nguruwe, n.k

    -kuweka hamira kwenye wali -kupika nyama zilizokaa mda mrefu (kuna namna ya kukata harufu), -kupika mizoga (zipo tetesi kuku wanaotupwa hukaangwa na kuuzwa buku kipande) -viungo viungo viliyo expire kama mchuzi mix, royco na nazi za kwenye makopo. -kutumia mafuta ya transfoma ama ya nguruwe...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…