Mnafahamu kwamba unahatarisha afya yako?! Kwa kuendesha magari mabovu kama haya ya namba A na B na C hata kama unalifanyia matengenezo...unajua unaendesha gari lililoekspaya mamoshi na mainjini yanatoa gesi chafu!
MY TAKE:
Uza hiyo gari iuzwe chuma chakavu, acha kuhatarisha usalama wako na...