Habari za wakati huu wana tekinolojia, nahtaji kuelewa utofauti na ikiwezekana ubora kati ya hizi aina za playstations 4.
Ps4 slim,ps4 FAT, ps4 version 9 na ps4 pro, chipped na non chipped. Nahitaji kufungua biashara ya playstation hivi karibuni, mnanishauri nichukue ipi kati ya hizo?
Habari za muda huu, naomba niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu, naomba msaada wenu kwa wale mafundi wa playstation 4, jinsi ya kukaba kwenye fifa 24 au 23, nimegundua nikiwa nacheza hili game wachezaji wangu hawakabi, ni kama wanamsindikiza mchezaji mpaka golini, nimejaribu kuangalia...
Habarini wakuu Mimi ni kijana wa miaka 23 lengo la Uzi huu ni kuomba msaada jinsi ya kuanzisha biashara ya playstation.
Nina plani za kuanzisha biashara hii baada ya kumaliza masomo yangu ya elimu ya juu hapo mwezi wa saba baada ya kujikusanya hela ya boom Nina kama M1.5 .hivyo nahitaji...
KAZI YA KUWEKA GAMES KWENYE PC/PS3/PS2
ANAHITAJIKA MFANYAKAZI MWANZA
AWE NAVIGEZO VIFUATAVYO :
1.Awe Anaishi maeneo ya mwanza mjini,mitaa ya dampo,pamba,lumumba,uhuru nk
2.Awe na ufahamu wa kuweka game kwenye PC,na PS
3.CV yenye wadhamini halali mwenye elimu yakutosha,na referees wanaopatikana...
Wasanidi wa kampuni ya Rockstar wanapendekeza kwamba Grand Theft Auto 6 (GTA 6) inaweza kuwa toleo la mwisho katika mfululizo wa Grand Theft Auto tutakaotumia maishani mwetu. 🎮 🌟
Wananuia kusasisha mchezo (refresh the game) kila mara kwa misheni mpya, maeneo na miji mipya kwa njia za mtandaoni...
Ni miaka kadhaa imepita baada ya kunusurika kujitoa uhai wangu.
Chanzo cha hayo yote ni maisha duni Niliyoyapitia kipindi nipo pale cumpus, nilikuwa naipambania Diploma yangu ya kwanza.
Sasa baada ya kukosa msaada home yani kama nilisuswa hivi hasa ikanibidi niingie mtaani kusebenza nipate...
Wadau.
Nimebaki na kichwa tu cha Mini playstation 3 bila pad, ina cable ya HDMI na ya kuchaji pad tu.
ni used in best condition300,000 tu.
Karibuni sana.
0783985530.
Sony PlayStation 3 (PS3) inauzwa.
Imetumika kwa mwezi mmoja (1)
*Ina HDD yenye 250 GB.
*Inakuja na padi mbili (2)
*Inakuja na waya wa power, waya wa HDMI na nyaya mbili (2) za kuchajia padi.
*Ina games tisa (9) ndani: AC: Black flag, AC: Rogue, Metal Gear Solid, Tomb rider, Injustice, Blur, PES...
Nimepata dharura kwahiyo nimeamua kuuza ofisi yangu ya PlayStation (Gamecentre).
Ina vitu vifuatavyo: (kila kitu kimetumika kwa mwezi mmoja)
Bei hazina maongezi (prices are fixed)
1-Sony PlayStation 2 inatoka kwa TSh 100,000 pamoja na memory card, flash, padi mbili na nyaya zote.
2-Sony...
Kawa kama zombi
Niliwahi kununua playstation Kwa mwanafunzi flan hivi wa chuoni alikuwa anadaiwa ada na hana pesa, aliniuzia hio mashine Kwa laki 3 na nusu, lengo langu lilikuwa niiuze hata kwa laki 5 maana hii mashine inauzwa takribani laki 8 madukani, kazi zilinitinga nikawa nimeiweka tu...
Sony Playstation 3 inauzwa. Imetumika kwa muda wa miezi minne tu.
->HAINA TATIZO(KIPENGELE) chochote
->Imechipiwa na ina game zaidi ya 6 ndani.
->Nakupa na padi mbili, waya wa kuchajia padi na waya wa power.
->Bei: 280,000/-
Kwa mawasiliano nicheki, simu/WhatsApp: +255 688 841884
Wasalam wanajukwaa. Mimi ni muajiriwa nimejichanga nikapata huo mtaji, nilikuwa naomba ushauri na namna ya kuanzisha biashara husiku hasa kwa Dar. Asanteni
Hard Disk: 500GB
Model: CUH 1003A
Build: PS 4 Fat
Games: Call of Duty, Pes 20, Need for Speed, GTA, Batman Injustice 2 na Mortal Kombat.
Controller Pad: No
Asking Price: 580,000
Location: Dar es Salaam
Contacts: 0757143214/ PM
NB: Mashine inatumia system ya HEN
Habarini ya Jumapili wakuu, mimi ni kijana wa miaka 23 nipo sam wea chuoni namalizia degree yangu fulani, leo nimekuja kuomba msaada wa kimawazo namna ya kuyaingia maisha ya mtaani.
To put things in persective, ninaishi kwa wazazi wa hali ya chini(milo miwili ya kubahatisha) Dar es...
Nataka nianzishe biashara ya kuchezeshaa game aina ya playstastion ila kabla sijaanza inanibd nifanye utafiti kuhusu biashara. naomba kwaa aliye na uzoefu na hilo aniambie faida na hasara zake.
WADAU WANAOHITAJI MUONGOZO KUHUSU BIASHARA HII
MAJIBU NA MICHANGO YA WADAU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.