plea bargain

A plea bargain (also plea agreement or plea deal) is an agreement in criminal law proceedings, whereby the prosecutor provides a concession to the defendant in exchange for a plea of guilt or nolo contendere. This may mean that the defendant will plead guilty to a less serious charge, or to one of the several charges, in return for the dismissal of other charges; or it may mean that the defendant will plead guilty to the original criminal charge in return for a more lenient sentence.A plea bargain allows both parties to avoid a lengthy criminal trial and may allow criminal defendants to avoid the risk of conviction at trial on a more serious charge. For example, in the legal system of the United States, a criminal defendant charged with a felony theft charge, the conviction of which would require imprisonment in state prison, may be offered the opportunity to plead guilty to a misdemeanor theft charge, which may not carry a custodial sentence.
In cases such as an automobile collision when there is a potential for civil liability against the defendant, the defendant may agree to plead "no contest" or "guilty with a civil reservation", which essentially is a guilty plea without admitting civil liability.
Plea bargaining can present a dilemma to defense attorneys, in that they must choose between vigorously seeking a good deal for their present client, or maintaining a good relationship with the prosecutor for the sake of helping future clients. However, in the case of the USA for example, defense attorneys are required by the ethics of the bar to defend the present client's interests over the interests of others. Violation of this rule may result in disciplinary sanctions being imposed against the defense attorney by the appropriate state's bar association.In charge bargaining, defendants plead guilty to a less serious crime than the original charge that was filed against them. In count bargaining, they plead guilty to a subset of multiple original charges. In sentence bargaining, they plead guilty agreeing in advance what sentence will be given; however, this sentence can still be denied by the judge. In fact bargaining, defendants plead guilty but the prosecutor agrees to stipulate (i.e., to affirm or concede) certain facts that will affect how the defendant is punished under the sentencing guidelines.
Plea bargaining was considered a predominantly American phenomenon during the 1970s, but has since spread throughout the world.

View More On Wikipedia.org
  1. Analogia Malenga

    Wakili Peter Madeleka akamatwa na polisi baada ya Mahakama Kuu kufuta Plea Bargain aliyoingia na DPP

    Wakili Peter Madeleka amekamatwa na Polisi Arusha, Amekamatwa mara baada ya High Court Arusha kufuta Plea Bargain aliyoingia na DPP Taarifa zaidi kukujia ======== Tweet yake ya mwisho ilikuwa .... Mahakama Kuu ya Tanzania Arusha Leo tarehe 17 Julai 2023 IMEFUTA PLEA BARGAIN iliyoingiwa Kati...
  2. BARD AI

    Waziri Ndumbaro akiri utekelezaji wa Sheria ya 'Plea Bargain' ulikuwa na mapungufu

    Waziri wa Sheria na Katiba, Damas Ndumbaro amesema utekelezaji wa Sheria ya Makubaliano ya Kukiri Makosa kwa Watuhumiwa katika kipindi kilichopita ulikuwa na makosa ikiwemo Mkurugenzi wa Mashtaka (DDP) kuhodhi mamlaka yote ya kesi. Ndumbaro amesema mapungufu mengine ni sheria kutomwangalia...
  3. Erythrocyte

    Ripoti ya CAG 2021-2022: CAG apendekeza iundwe Tume Huru kuchunguza ukiukwaji kwenye Plea Bargain

    Katika Ripoti yake iliyotolewa leo, CAG amesema hivi, Nanukuu "Napendekeza Iundwe Tume Huru ya kuchunguza uwezekano wa ukiukwaji wa Maadili na Matumizi Mabaya ya Ofisi ya Umma katika mchakato wa kukiri kosa na kutaifisha mali za watuhumiwa" Mwisho wa kunukuu. Mimi binafsi naunga mkono hoja hii...
  4. BARD AI

    Ripoti ya CAG kuhusu zilipo Fedha za 'Plea Bargain' inatoka lini?

    Wakati bado wananchi wakiwa kwenye sintofahamu ya nini kilitokea kwenye utaratibu wa kumaliza kesi za uhujumu uchumi uliotumika na Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Hayati Rais Magufuli, swali jipya linaibuka zikiwa zimebaki siku chache mwezi Machi 2023 kumalizika na hakuna taarifa yoyote...
  5. mdukuzi

    Familia ya Hans Poppe kutinga kwa Rais Samia kudai mabilioni ya baba yao yaliyoporwa na Hayati Magufuli kwenye ‘plea bargain’

    Kama tunavyofahamu vigogo watatu wa SSC,Evans Aveva,Hans Poppe na Geofrey Nyange Kaburu walikuwa na kesi inayowakabili mahakamani. Kesi yenyewe ni kutoa taharifa za uongokuhusiana na malipo ya kodi kifungu 106(1) AC(1) cha income tax sura 332 REF 2008 Wakati Aveva na kaburu wanakamatwa Hans...
  6. Robert Heriel Mtibeli

    Sakata la Plea Bargain limenikumbusha Kisa hiki cha Wezi

    SAKATA LA PLEA BARGAIN LIMENIKUMBUSHA KISA HIKI CHA WEZI Anaandika, Robert Heriel Nyakati nasoma, nakumbuka shuleni kulikuwa na magenge ya Wezi. Kila shule inamagenge ya aina hizo. Yapo magenge ya Siri na yale ambayo yapo waziwazi. Ingawaje wapo Wezi binafsi WA kujitegemea ambao hufanya...
  7. BARD AI

    Hizi hapa sababu za Kitilya na wenzake kupinga makubaliano ya 'Plea Bargain' na DPP

    Aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Harry Kitilya na wenzake wawili wamekimbilia Mahakama ya Rufani kuomba kuruhusiwa kupinga makubaliano baina yao na Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), yaliyowatia hatiani katika kesi ya uhujumu uchumi iliyokuwa ikiwakabili. Kitilya, Shose...
  8. BARD AI

    Wahanga wa 'Plea Bargain' waomba Jaji Biswalo asimamishwe kupisha uchunguzi

    Ni baada ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuthibitisha kuwa ofisi yake imeanza uchunguzi wa jambo hilo na ripoti yake itatoka March 2023. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Ofisi ya CAG imeanza kuwahoji waathirika wa utaratibu huo kuanzia ngazi ya Kata, huku kukiwa na madai...
  9. Erythrocyte

    Sakata la 'Plea Bargain': Wadau wamwandikia barua Rais Samia kutaka amuondoe Biswalo Mganga

    Hii ndio Taarifa mpya ya leo ya Gazeti la Raia Mwema Kwamba kutokana na kuvuja kwa Taarifa nyingi kuhusu unyama uliotendwa kwenye kilichoitwa Plea Bargain, iliyosimamiwa kikamilifu na DPP wa wakati ule aliyeitwa Biswalo Mganga. Wadau wamemkumbusha Mh Rais kuhusu Makando kando ya Mtu huyo na...
  10. BARD AI

    CAG: Tunachunguza makubaliano ya "PLEA BARGAIN", Ripoti inakuja Machi 2023

    Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere amesema ripoti ya uchunguzi ambayo ofisi yake imekuwa ikifanya kuhusu fedha zilizokusanywa kupitia utaratibu wa makubaliano ya rufaa "Plea Bargain" itatolewa kwa umma Machi 2023. Kauli ya CAG inakuja siku chache baada ya...
  11. BARD AI

    Duka la "Plea Bargain" lafungwa, Waliochukuliwa fedha zao waitwa kuhojiwa, uchunguzi waanza

    Serikali imeanza uchunguzi wa ukwapuaji wa mabilioni ya shilingi uliofanywa na Serikali ya Rais John Magufuli, kupitia alichoita, “Sheria ya Plea Bargain," Raia Mwema imeelezwa. Taarifa kutoka serikalini na baadhi ya watu walioswekwa magerezani na kutolewa kwa utaratibu huo, zinaeleza kuwa...
Back
Top Bottom