pochi

Miho Obana (小花 美穂, Obana Miho, born April 26, 1970) is a shōjo manga artist born in Tokyo, Japan. Her best-known work was Kodomo no Omocha, also known as Kodocha, which was published in Ribon magazine, and won the Kodansha Manga Award for shōjo in 1998. Other works include Partner, Andante and Honey Bitter.

View More On Wikipedia.org
  1. Naomba msaada: Nahitaji frame Kariakoo, mtaa wa kuuza pochi za kike

    Wakuu, nawasalimu kwa jina la JMT. Nimeingia Dar, takribani miezi 3 iliopita nikitokea Mtwara baada ya kufunga biashara yangu Mtwara MC Uchumi umeshuka kwa kasi na ninaelekea kupoteza mtaji, hadi natamani kujinyonga. Nimejaribu biashara mtandaoni nimeishia kuchata na watu, eg mtu anauliza bei...
  2. Nauza pochi kali, ofisi yangu ipo Kawe Ukwamani

    Wakuu kwema? Mzee wa machimbo leo chimbo mimi mwenyewe. Naweka mfululizo wa pochi kali ninazoleta kutoka china mimi mwenyewe Ofisi yangu iko kawe ukwamani. Frem mpya za Lugalo Mikoani utatumiwa kwa uaminifu mkubwa kabisa Mawasiliano: 0628731833/0778321833
  3. Wauza pochi, nakupa chimbo hili ukajimalize mwenyewe

    Wazee wikend imepoa sana Sijui shida nn ila nataka kuwapa kuwpa code, asee jf nikifa mtanikumbuka sana. Sitaki mia yako mzee, wewe nenda kwa mchina kafanye biashara watoto waende chooni. Dua tu zinanitosha kabisa Kuna mtaa unaitwa swahili, sehemu iliyokutana na mtaa wa Mchikichi. Hapo kuna...
  4. Nimekuta sabuni hii kwenye pochi ya Mwenza wangu

    Tujibiiii Hii sabuni mara nyingi naiona gest sasa najiuliza maswali kwenye pochi yake imefikaje na madukani ni ngumu kupatika yeye atakuwa kaipata wapi?
  5. Pochi za kishua zinauzwa

    Hellow Guys! Mmeshindaje? Poleni na mahangaiko ya kila siku. Wadada nina mambo mazuri sana. As we know mwanamke ni pambo lazima liwake na kupendeza muda wowote ili liendelee kuvutia. Jamani nina pochi nzuri sana kwa ajili yenu bei kitonga tu kuanzia 15k, 18k, 25k n.k Pochi zetu zinafaa kubeba...
  6. Biashara ya pochi ndogondogo

    Biashara ya pochi ndogondogo za kike nainai chambuu 💥4000 Kuanzia pisi 20 🔥5000 Kuanzia Pisi 10 ⚡6000 Kuanzia Pisi 2 🌟7000 Pisi 1 (Rejareja) 😋Unaweza kuuza 7000-10000 📍Tupo Morogoro Mjini Mtaa Wa Konga Jirani Na Aika Lodge 0713055107
  7. INAUZWA Mabegi, Mikoba na Pochi ndogo nainai chambuu bei ya katoni

    Habari wanajamii Baada ya kuja na wazo la kuwaagizia watu bidhaa China kufeli Kisha wazo wa kuwauzia Yuan za china na kuwasaidia manunu pia kufeli Nimeona Sijaandikiwa kusaidia watu bali ichi ninachokifahamu ni tunu yafaa nitumie kujinufaisha na familia yangu tu. Ndio nimeamua kuagiza...
  8. Shemeji yenu anaficha pochi kwenye chumba cha mabinti wa kazi.

    Wakuu napitia kipindi kigumu sana. Baada ya mzazi kugeuka mtetezi wa wanangu. Shemeji yenu amekua akiweka hand bag yake kwenye chumba cha mabinti wa kazi. Nahisi mwanzo wa jambo la hatari. Kwanini afiche hand bag.??
  9. Pochi tatu za kugawa mshahara wako ili kuweka mipango ya maisha

    Kipato cha walio wengi ni mshahara, hata kama unafanya biashara ni muhimu kujiwekea mshahara wako, hii itakusidia kuiheshimu faida na kutokuigusa. Matumizi ya muhimu katika mshahara ni chakula, kodi ya nyumba na usafiri. Haya yanatakiwa kutolewa katika mshahara kabla hujapanga mipango yeyote...
  10. Huyu kanipania sana. Kaja kabisa kwenye pochi nadhani hivi ni Vipipi vya Utamu

    Huyu demu ni muda sana nlikuwa namfukuzia. Siku zote ananitizama anacheka ananiambia "we mtu unajua mi nakuonea huruma huu mzigo huuwezi😁" Huwa namjibu asione wembamba wa reli huu nabeba mamizigo ya haja. Karibia mwaka ananizungusha. Jana akaniambia ameamua na mimi anipe maana ameona...
  11. M

    Biashara ya viatu vya kike spesho hivi vya fashion na pochi

    Habari, Biashara ya viatu na pochi za kisistaduu zinalipa kwa Mbagala Rangitatu? Natumai kuanzisha biashara, nina 2.5M ila biashara ninayoipenda ni viatu vya kike, yaani vinavyohusu wanawake. Fremu nakusudia nipate mbele mbele stendi yaani. Mnanishaurije, biashara hii inalipa au?
  12. Mke wangu anataka tuweke pochi mezani kila mwisho wa mwezi.

    Wakulungwa! Hii Ndio itakuwa Salam yangu rasmi. Wakulungwa!!!... Wakulu. Mimi Nina familia imebarikiwa niseme ukweli wa wazi. Na mabarikio yanatokana na kujituma na kutii wakubwa na wadogo. Kimsingi hata mtoto wangu wa miaka 2 namheshim na nikimkosea au ninapohisi amekosewa nikiwa around. Na...
  13. Pata pochi, mabegi ya shule na safari begi kwa bei nafuu

    Hello wadau karibuni hapa ni mabegi na pochi kali kwa bei nafuu. Pochi 15000 mabegi ya shule 20000, safari begi 30000 karibuni Sana. Namba zangu za simu 0692436124, napatikana Moshi mjini mkoani tunatuma kwa uaminifu mkubwa.
  14. Nimekuta Condom na kilainishi kwenye Pochi ya Mke wangu

    Habari wanajamvi, mimi na mke wangu tuna miaka 4 ya ndoa tangu mwanzo wa mahusiano yetu sijawahi kuona dalili zozote kwamba ananisaliti na familia yetu ikiwa inaishi kwa amani na furaha. Sasa mwezi uliopita wakati natafuta earpods katika mkoba wake wa kazini nikakuta condom ya kiume aina ya...
  15. Mwanamke Pochi nzuri

    Habari wakuu, Husika na kichwa hapo juu, Pamoja na mwanamke kuwa na urembo wa aina mbalimbali lakini pochi ni mojawapo. Kama mwanamke utavaa vizuri lakini kama hutabeba pochi nzuri unapoteza mvuto. Pochi pia imekuwa ikikuonyesha mwanamke hadhi yake aliyonayo. Pochi hiyo hiyo imekuwa na msaada...
  16. Queen Sendiga, kuingizwa kwenye pochi inakuwaje?

    Katika Utawala bora ni pamoja na proper and official communication skills. Kiongozi kuhamaki hadharani ni dalili ya weakness, hatutakiwi kuwa emotional. Ni kweli wakati mwingine subordinates wako wanaweza kukuongopea kwa maslahi binafsi, lakini kiongozi aliyewiva bado atakuwa cool and...
  17. Belo za pochi za mitumba ya kike kwa jumla zinapatikana wapi?

    Mwenye kujua tafadhali, nahitaji kujua chimbo hizo kwa hapa bongo zinapatikana wapi?
  18. Ni sehemu gani nzuri ya Kuficha 'Pochi' yako Chumbani 'Gesti' ukiwa umemnunua 'Malaya' wa Kulala nae hadi Asubuhi ili asikuibie?

    ANGALIZO Tafadhali Mleta Mada ( Uzi ) GENTAMYCINE siyo 'Mnunuaji' wa hao 'Malaya', ila hapa nawasilisha tu 'Malalamiko' ya 'Wanunuaji' wengi ambao huwa nina bahati ya Kukutana nao mara nyingi.
  19. E

    INAUZWA Pochi quality original zinauzwa

    Pochi original inauzwa ina section 3 za zipu. Bei 70,000/= Zipo rangi ya Brown na black Wasiliana nami kupitia 0682282617 Karibuni sana wateja
  20. INAUZWA Pata pochi za kike kwa bei nafuu

    Habari wakuu, Tumeleta mzigo wa pochi za kina dada nzuri. Tunauza kwa bei ya jumla na reja reja Bei yetu ya jumla ni sh. 13,000/=✓ kuanzia PC tano tu na rejareja sh. 15,000/= Tunapatikana Nyegezi Mwanza Karibu WhatsApp 0763772636 popote zitakufikia kwa bei ya tabasamu
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…