pogba

Pogba is a surname. Notable people with the surname include the Pogba brothers, all professional footballers:

Florentin Pogba (born 1990), French-Guinean footballer who plays for Sochaux
Mathias Pogba (born 1990), Guinean footballer who plays for Tabor Sežana
Paul Pogba (born 1993), French footballer who plays for Manchester United and France

View More On Wikipedia.org
  1. The Mongolian Savage

    Tangu Pogba na Diallo kuilaani Israel hadharani mambo yao yamewaendea vibaya sana

    Yeeerrreeehhh! May 2021 Hamas walianza uchokozi walirusha makombora mengi sana kwenye anga teule la Israel. Israel ikajibu kwa kuwashushia vitu vizito sana vyenye ncha butu vikigusa ardhi vinalipuka na wanaosalia kubaki kulialia hovyohovyo ooh wateule wanaua wanawake na watoto. Baadaye watu...
  2. FK21

    Prime Pogba vs prime KDB who is the best?

    Wakuu njoo mtoe ya moyoni katika ubora wa Pogba na ubora wa Kelvin DB. nani unamuona Yuko juu ya mwenzake?
  3. Waufukweni

    Kifungo Cha Paul Pogba Kimepunguzwa, Atarajiwa Kurudi Uwanjani Machi 2025

    Kifungo cha miaka minne cha Paul Pogba kutojihusisha na soka baada ya kudaiwa kutumia dawa za kusisimua misuli kinyume na taratibu za soka, kimepunguzwa hadi miezi 18 baada ya kufanikiwa kukata rufaa katika Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo. Pogba sasa ataweza kurejea tena kuichezea Juventus...
  4. Papaa Mobimba

    Je, ndio mwisho wa Paul Pogba kisoka? Afungiwa kutojihusisha na soka kwa miaka 4 kutokana na matumizi ya dawa za kusisimua misuli

    Paul Pogba ambaye atatimiza umri wa miaka 31 mwezi Machi mwaka huu amefungiwa kutojihusisha na soka kwa miaka minne kutokana na matumizi ya dawa za kusisimua misuli. Mpaka adhabu yake iishe atakuwa ametimiza umri wa miaka 35, umri ambao wachezaji wengi wanatundika daluga. Mchezaji huyo mwenye...
  5. JanguKamaJangu

    Imebainika, Rashford na Pogba walikataa kitambaa cha unahodha

    Siku chache tangu aliyekuwa Kocha wa Manchester United, Ole Gunnar Solskjaer kunukuliwa akisema kuna wachezaji wawili walikataa cheo cha unahodha wakati wa utawala wake imegundulika kuwa mastaa hao ni Marcus Rashford na Paul Pogba. Imeelezwa Pogba alikataa kwa kuwa alikuwa na mpango wa...
  6. Gautten Potten

    Pogba autamani Umaskini

    Kifo Cha Mpira wa Pogba kinachodhaminiwa na nduguze kikaribu kuja. Kipindi wewe unapambana Hadi kuroga upate pesa wenzako wanatamani kuzikosa maana zinawaletea shida na matatizo kila uchao. Ndugu wamekuwa sababu ya Labile Paul Pogba kutamani kuwa masikini na asijuane na pesa.
  7. JanguKamaJangu

    Paul Pogba asimamishwa kucheza kwa kosa la kutumia dawa za kusisimua misuli

    Kiungo wa timu ya Juventus, Paul Pogba, mwenye umri wa miaka 30, amesimamishwa kucheza kandanda kwa muda baada ya kukutwa na kosa la kutumia dawa za kusisimua misuli. Uamuzi huo umechukuliwa na Mahakama ya Kitaifa ya Italia yenye dhima ya kupambana na matumizi ya dawa za kuongeza nguvu mwilini...
  8. Teko Modise

    Nini kimemkuta Paul Pogba?

    Paul Pogba ni mmoja ya wachezaji waliotarajiwa makubwa wakati akiwa anakua. Alitajwa kuwa na kipaji kikubwa na uwezo mkubwa wa kucheza kama kiungo. Akatoka Man Utd baada ya kukosa nafasi akaenda zake Juventus na kukiwasha. Baada ya misimu kadhaa akarudi zake Man Utd kwa usajili wa rekodi ya...
  9. marehem x

    Mnaofuatilia series a Pogba simuoni oni

    Nimekuwa na kawaida kufuatilia wachezaji wetu pendwa lkn huyu cheusi Mangala simuoni oni wenzetu wa series a tubieni kajichimbia hospitali gani
  10. Google Diggers

    Ni ipi future na nafasi ya Paul Pogba Juve

    Hembu tuone mm naona atapotea. Huyu fundi Kwa Umri wake angesalia united na ujio wa mafundi wengine pale OT si haba angefanya jambo. Watu kama casemiro, Antony, malacia anavyopambana dhahiri uwepo wa Erickson lazima Pogba angeonesha fundi pale kwenye namba nane
  11. BARD AI

    Mathias Pogba ashtakiwa kwa utapeli dhidi ya Paul Pogba

    Uamuzi huu umekuja ikiwa ni siku chache tangu Mathias Pogba akamatwe kwa kuhusishwa na utapeli dhidi ya ndugu yake Paul Pogba. Ataendelea kuwa mahabusu akisubiri uamuzi wa Mahakama kuhusu dhamana yake. Taarifa za Mahakama zimesema watu wengine wanne pia wamewekwa chini ya uchunguzi rasmi kwa...
  12. M

    Waliokulia udogoni na Paul Pogba walazimisha awalipe fadhila

    Mzuka wanajamvi! Genge la vijana waliokulia udogoni na kiungo wa zamani wa Manchester united na Sasa mchezaji wa Juventus Italia wanadai fadhila ya kulipwa hela na Paul Pogba kwa nguvu. Marafiki hao wa Pogba Toka udogoni waliokulia viungani mjini Paris wanadai Pogba kawasahau. Wamekumbusha...
  13. JanguKamaJangu

    Majanga! Majeraha kumuweka nje Paul Pogba hadi 2023

    Kiungo wa Juventus, Paul Pogba anaweza kuikosa michuano ya Kombe la Dunia 2022 itakayofanyika Nchini Qatar kutokana na kupata jeraha la goti alilopata katika mazoezi. Pogba amesitisha kuwepo katika kambi ya timu hiyo kwa ajili ya kwenda kuona wataalam na kuna uwezekano wa kufanyiwa upasuaji...
  14. Aaron Arsenal

    Mino Raiola Ana hali mbaya, ni wakala wa Pogba, Zlatan, Lukaku, Haaland, Balotelli

    BREAKING NEWS: Italian football agent Mino Raiola died after illness. He was agent of Ibrahimovic, Pogba, Haaland etc 🚨 Football agent Mino Raiola has passed away according to the Italian media. 🙏😔 Taarifa Kadhaa huko Ulaya zinaripoti kifo cha wakala maarufu Raia wa Italia na Uholanzi Mino...
  15. The Mongolian Savage

    Pogba kafiwa?

  16. The Boss

    Msala wamashukia Pogba

    Baada ya France kutolewa Euro msala umemshukia Pogba, inadaiwa hakusaidia defence Kabisa. Inashangaza hadi mama zao na Baba zao wamegombana. Hatari sana.
Back
Top Bottom