Mkuu wa wilaya ya ikungi Mhe. Jerry C. Muro amezindua zoezi la chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa hatari wa kupooza (POLIO) linalolenga kutoa chanjo kwa watoto 97, 575 katika wilaya ya Ikungi
Mhe. Muro amesema hayo wakati akizindua zoezi la chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa hatari wa polio...
Mamlaka za afya nchini Uingeleza zimesema kuwa vimelea vinavyosababisha ugonjwa wa Polio vimeonekana katika maji taka nchini humo na kuashiria kuwa huenda watu wachache wanaweza kuwa wameambukizwa ugonjwa huo Kaskazini na Kusini mwa Mji wa Londoni. Mpaka sasa hakuna mtu aliyedhibitika kuwa na...
Unasababishwa na Kirusi cha Polio kinachoambukizwa kutoka kwa mtu aliyeathirika kwenda kwa mwingine kwa kunywa/kula chakula au kinywaji kilichochafuliwa na kinyesi chenye vimelea vya Ugonjwa.
Virusi huzaliana katika utumbo na huweza kuathiri mfumo wa fahamu ikiwa ni pamoja na viungo kupooza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.