polio

  1. B

    Ikungi: Zaidi ya watoto 97,000 kufikiwa na chanjo ya polio

    Mkuu wa wilaya ya ikungi Mhe. Jerry C. Muro amezindua zoezi la chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa hatari wa kupooza (POLIO) linalolenga kutoa chanjo kwa watoto 97, 575 katika wilaya ya Ikungi Mhe. Muro amesema hayo wakati akizindua zoezi la chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa hatari wa polio...
  2. Jamii Opportunities

    Social and Behavior Change (SBC) National Consultant for Polio Outbreak Response (6 positions) at UNICEF

    Social and Behavior Change (SBC) National Consultant for Polio Outbreak Response (6 positions) (1) Dar es Salaam, (2) Geita, (3) Kagera, (4) Lindi, (5) Tabora and, (6) Mara, (For 126 Days). Job no: 553667 Contract type: Consultant Duty Station: Dar-es-Salaam Level: Consultancy Location: United...
  3. Gama

    Vimelea vya Polio vyaonekana UK

    Mamlaka za afya nchini Uingeleza zimesema kuwa vimelea vinavyosababisha ugonjwa wa Polio vimeonekana katika maji taka nchini humo na kuashiria kuwa huenda watu wachache wanaweza kuwa wameambukizwa ugonjwa huo Kaskazini na Kusini mwa Mji wa Londoni. Mpaka sasa hakuna mtu aliyedhibitika kuwa na...
  4. beth

    Ufahamu Ugonjwa wa Polio

    Unasababishwa na Kirusi cha Polio kinachoambukizwa kutoka kwa mtu aliyeathirika kwenda kwa mwingine kwa kunywa/kula chakula au kinywaji kilichochafuliwa na kinyesi chenye vimelea vya Ugonjwa. Virusi huzaliana katika utumbo na huweza kuathiri mfumo wa fahamu ikiwa ni pamoja na viungo kupooza...
Back
Top Bottom