Hapa ni wapi, hawa wanajulikana, Kamanda Mulilo, IGP Wambura hapana naona mtaharakisha kutoa press Release kama vile mwafanyaga kwenye matukio mengine.
Zaidi kongole kwa camera man wa kujitegemea.
Updates: Polisi yachukua hatua, yalaani vikali kitendo hicho
Baadhi ya polisi wa barabarani wamekuwa wakiandikia fine malori ya mizigo kwa makosa ambayo hayapo ili wajipatie pesa. Mfano kosa la gari bovu. Gari limetembea kutoka Mwanza hadi Dar ila wanasimamisha wanaandika gari bovu kisa hamna nati moja au mbili au bumber limechomoka.
Gari bovu linawezaje...
Anonymous
Thread
fine za mchongo
jeshi la polisipolisibarabarani
rushwa
rushwa kwa trafifiki
rushwa polisi
trafiki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.