Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, David Misime, ameeleza kuwa Jeshi la Polisi limepiga marufuku maandamano yaliyoandaliwa na CHADEMA, ambayo yalikuwa yamepangwa kufanyika Septemba 23 katika jiji kuu la kibiashara, Dar es Salaam. Marufuku hiyo imetolewa kwa lengo la kudumisha amani na usalama...
ali kibao
ali kibao auawa
ccm
chadema
jeshi la polisi
kuelekea 2025
maandamano ya chadema
marufuku kuandamana
polisikuzuiamaandamano
siasa tanzania
utekaji tanzania
uvunjifu wa amani
Kauli ya msajili ya vyama vya siasa na Jeshi la polisi kuhusu BAVICHA ina kila dalili kwamba watu hawa wamekaa kikao cha pamoja na kutoka na maazimio.
Kwa mtizamo wangu inaleta picha kwamba UVCCM wameshindwa kuandaa wanasiasa. Tumeona Zanzibar kwamba ilibidi Rais awepo ndipo agenda zao ziweze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.