polisi kuzuia mkutano wa mnyika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pre GE2025 Jeshi la Polisi lazingira Ofisi ya Makao Makuu CHADEMA Mikocheni na kuzuia Mkutano wa Mnyika na Waandishi wa Habari

    Jeshi la polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limezuia mkutano wa waandishi wa habari wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema John Mnyika uliopangwa kufanyika leo Jumatatu 27/1/2025 saa tano asubuhi. Nje ya jengo la Makao Makuu hayo wapo askari wa jeshi la polisi kwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…