Tumeshuhudia la wama nyingi katika mitandao ya kijamii wa kilaumu polisi mbeya kwa kuwatia nguvuni viongozi wa chama cha CHADEMA. Hivi ukiwa mpinzani ukikosea hutakiwi kukamatwa? Tanzania tunatakiwa kujipongeza kwa kuwa na jeshi imara na wanao jua kazi zao.
Je, mnataka Yale ya Kenya ya je hapa...