polisi na rushwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Twilumba

    Hapa ni wapi? Trafiki wadakwa kwenye video wakichukua Rushwa mara kadhaa

    Hapa ni wapi, hawa wanajulikana, Kamanda Mulilo, IGP Wambura hapana naona mtaharakisha kutoa press Release kama vile mwafanyaga kwenye matukio mengine. Zaidi kongole kwa camera man wa kujitegemea. Updates: Polisi yachukua hatua, yalaani vikali kitendo hicho
  2. Mfilipi WaTanzania

    Kwa mujibu wa utafiti wa mwaka 2020 Jeshi la Polisi lilitajwa kama kinara wa Rushwa Tanzania

    Kwa Mujibu wa Utafiti wa “National Governance And Corruption Survey 2020” Jeshi la Polisi ni Taasisi Kinara kwa Rushwa nchini Tanzania kwa tasisi za Umma ikiwa na Alama 45.6%. Huu ni Utafiti uliofanywa kwa kuhoji Wananchi Maeneo Mbalimbali nchini. Wahojiwa walitoa maoni na kuonyesha kuwa Jeshi...
Back
Top Bottom