polisi tanga

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Polisi Tanga waeleza sababu ya kuendelea kumshikilia Bondia Hassan Mwakinyo

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga limetoa sababu ya kuendelea kumshikilia bondia maarufu nchini Hassan Mwakinyo (29), anaetuhumiwa kumshambulia mkazi wa jijini Tanga Mussa Ally akimtuhumu kuwa ni mwizi. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake leo Jumatatu Machi 10,2025, Kamanda wa Polisi...
  2. Mwakinyo ashikiliwa na Polisi Tanga, akituhumiwa kum-shambulia mtu

    Bondia wa ngumi za kulipwa nchini na bingwa wa mkanda wa WBO Afrika katika uzani wa middle, Hassan Mwakinyo anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga akituhumiwa kum-shambulia mtu anayedaiwa kuingia katika eneo lake bila ya ridhaa yake. Mwakinyo anashikiliwa na jeshi hilo tangu jana...
  3. Boniface Jacob: Kombo amezungushwa mikoa 10 akihojiwa na kuteswa na Polisi kabla ya kurudishwa Tanga

    Baada ya kutoa UPDATES za kuhusu kutelekezwa Wazazi wa KOMBO nje ofisi ya RPC Tanga bila ruhusa ya kumuona mtoto wao na msaada wowote Na baadae Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini wa CHADEMA Godbless Lema kuwapigia Jeshi la Polisi Tanga. Mchana huu wazazi wa KOMBO na waliokuwa ofisi za RPC Tanga...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…