polisi wazuia mkutano

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Cute Wife

    Pre GE2025 Mkutano wa CHADEMA Mikocheni umezuiliwa ila chawa wamekata keki feri karibu kabisa na Ikulu, hii tunaiitaje?

    Wakuu, Polisi walivamia ofisi za CHADEMA mapema leo asubuhi na kuzuia mkutano huo kufanyika wakisema wataleta usumbufu wakati mkutano wa nishati unaendelea, na kwamba wanatakiwa kughairisha. Mkutano ambao ungekuwa na waandishi wa habari tu kurusha tukio hilo, tena mbali kabisa na Posta ambako...
  2. Mindyou

    Kama unajiuliza kwanini polisi wamekataza Press ya Mnyika, tazama hapa jinsi Uchaguzi wa CHADEMA ulivyoteka mitandao ya kijamii

    Wakuu, Binafsi nawaelewa CCM kwanini wamekataza Press ya Mnyika na wakaenda kuweka polisi mbele ya jengo la CHADEMA ili kuzuia hiyo Press kufanyika. Whoever made that decision anaelewa ni kiasi gani CHADEMA wana nguvu kwenye mitandao ya kijamii. Kama hiyo press itafanyika, hakuna mtu...
Back
Top Bottom