Kwa wasioijua pombe ya mnazi ni pombe asilia 100% toka mbinguni yaani inagemwa toka katika mnazi inadondokea kama vile zao la mpira matone matone ni kinywaji changu niwe mkweli kwa hapa Lindi kuna mzungu mmoja alikujaga akawa kila siku anawekewa order ya lita tano.
Katika kuifuatilia nikajua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.