ponzi scheme

  1. Mshangazi dot com

    Tuliwaonya kuhusu LBL mkashupaza vichwa, sasa mnaisoma namba!

    Nimeona kuna mama aliweka huko hela za ada za watoto wake, sasa hivi ndoa yake iko rehani. Jamani kweli tuna ujinga kiasi hiki? Aliye na story za watu walipoteza hela zao LBL, azilete hapa ili wale sikio la kufa wajifunze kuacha ubishi. Pia Soma...
  2. The unpaid Seller

    UTAPELI: Hayawi hayawi sasa yamekua: Tayari LBL kimewalamba

    Niliandika hapa uzi mwezi 11 mwaka Jana 2024 nikiwajuza watu juu ya viashiria vya utapeli wa LBL watu wakanipurua kinyama nikaandika tena mwezi wa 1 mwaka huu 2025 kua watu watoe fedha zao Hilo Ponzi scheme linaenda kuanguka nikashambuliwa tena. Haya sasa Kiko wapi ?! Hamuwezi tena kutoa fedha...
  3. Mshangazi dot com

    LBL: Pyramid Scheme Inayowatapeli Watu kwa Kisingizio cha Uwekezaji

    Kwanini watanzania wengi wanatapeliwa na Ponzi schemes kama LBL Tanzania? Nini chanzo cha watu kutokupenda kufanya tafiti na kutafuta taarifa kabla ya kuinvest pesa. Hakuna kampuni inayoitwa LBL Advertising Media LTD ambayo imesajiliwa Tanzania, ila kuna Kampuni yenye jina sawia imesajiliwa...
  4. Logikos

    Mfumo wa USA Dollar ulivyoanza kutumika Duniani, na Kupelekea Dunia Kuchezeshwa DECI (Ponzi Scheme)

    Utangulizi: Baada ya vita vya Pili vya dunia mataifa mengi ya Ulaya yalikuwa katika hali mbaya ya Uchumi, Wawakilishi wengi wa Mataifa haya ya Ulaya na dunia (Jumla Mataifa 44) walikutana Bretton Woods, mwaka 1944 kuangalia ni jinsi gani wanaweza kuwa na Uchumi bora na wa Uhakika, Mataifa haya...
  5. Kinumbo

    Tahadhari ya utapeli: Kuna watu wanaenda kupigwa na kitu kizito!

    Habari zenu wakuu, Nimepita kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii nimekutana na kitu inaitwa WAKALA ONLINE. Kama ujuavyo baadhi ya watanzania wanapenda pesa za mteremko yaani wapate pesa bila kushughulika. Pia kupenda njia za mikato, hapa wajinga wengi watapigwa na kitu kizito. Hii kitu kwa...
  6. U

    Shinyanga: DC Mtatiro aamuru Aliance Motion Global kufungwa kwa tuhuma za kukusanya vijana na kuwatapeli

    Wadau hamjamboni nyote? Taarifa kamili hapo chini: Yaleyale ya ile kampuni ya QNET Siku za hivi karibuni kampuni ya Aliance Motion Global imekuwa ikiripotiwa sana kwa kukusanya vijana kutoka sehemu mbalimbali kwa ajiri ya kuwapa mafunzo na kuwapatia ajira huku wakiwatoza vijana hao pesa...
  7. Junior Lecturer

    DOKEZO Tahadhari: Utapeli wa watu waliojificha nyuma ya biashara ya kimtandao ya ‘Alliance in Motion Global’

    Kuna shirika lina jiita Allience In motion global. Linakusanya vijana toka mikoa mbalimbali Tanzania, likiwaahaidi kuwapa ajira. Badala yake vijana huishia kutapeliwa kwa kujidai wana fundisha networking marketing. Wengi wamelia na kusaga meno baada ya kutoa tsh 900,000. Na Wengine 580,000...
  8. Yuda Legacy

    Ponzi Scheme utapeli unaopendwa na Watanzania wengi

    Ponzi scheme ni utapeli ambao ulianzia nchi za ughaibuni na ukapigwa marufuku huko lakini cha ajabu ni kwamba utapeli huu umekuwa unapendwa na watanzania wengi licha ya kuwaliza na kuwaacha na maumivu Makali lakini ponzi scheme ni mpenzi wa kudumu kwa watanzania ni mpenzi anae wa danganya na...
Back
Top Bottom