posta mpya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. complex31

    Interchange ya MWENGE na MOROCCO imepotelea wapi?

    Habari, Kwa watumiaji wa barabara ya Bagamoyo, Ali Hassan Mwinyi pamoja na viunga vyake vya Sam Nujoma kuna ujenzi unaendelea wa BRT phase ya 4. Awamu iliyopita bwana Humphrey PolePole alisema kua kuna Interchange zitajengwa Makutano ya Bagamoyo na Sam Nujoma Road (Mwenge) Makutano ya Ali...
  2. M

    Picha: Askari wa usalama aliyevaa kiraia akielekeza magari kwa makini mtaa wa posta mpya Dar es Salaam

    Yupo makini kwa kazi yake
  3. M

    Kuna Timu naiona ipo Morocco ya Mlandizi na nyingine Morocco ya Posta Mpya

    Siyo lazima Simba SC ikienda mahala na Timu zingine Ziige wakati hata Uwezo wa Kipesa hawana. Simba SC ipo Morocco ya Posta Mpya ila kuna Watu wapo Morocco ya Mlandizi na Wachezaji furaha hawana. Aliyeanza kaanza tu Kudadadeki!
  4. Lord OSAGYEFO

    Hadhi ya Posta Mpya imeharibiwa na biashara za machinga na mama lishe

    Ukweli utawala wa awamu ya 5 kuruhusu wamachinga na mama lishe. Kufanya biashara popote watakapo na wasibughudhiwe ulikuwa na ushamba wa aina yake. Zamani maeneo ya Posta yalikuwa ni maeneo ya kuvutia sana sio kwa wageni bali hata kwa wenyeji. Yalikuwa masafi yasiyo na misongamano ya hovyo...
Back
Top Bottom