Raisi Samia Samia amewahi kutueleza pale tunapoona Serikali imekosea basi tuikosoe kwa staha na tushauri nini kifanyike.
Hivyo kwa staha naomba kuishauri Serikali juu ya hili ombi kwa wafanyabiashara kuchangia pesa kwa ajili ya anuani za makazi(postcode).
Sasa hivi Hali iliyopo inaonekana wazi...
Wanasema shamba la bibi hauhitaji ruhusa kuvuna.
Leo nimepokea ujumbe wa SMS kuhusu postcode, ikinitaka kubonyeza *152*00# ili kuona posti kodi yangu. Ajabu ni kuwa postcode hii ni sawa na iliyotumika katika NIDA, najiuliza kwa serikali itumie pesa kufanya jambo ambalo tayari lipo katika mfumo...
Katika Uzinduzi wa Mpango Mkakati wa Miaka Mitano wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Fausine Ndugulile amesema watahakikisha maeneo yote yanakuwa yanatambulika kwa PostCodes
Pia itawezesha suala la Posta Kiganjani ili mtu asiwe anaenda posta kufuata barua bali zimfuate...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.