Nimeona poster ya The Chanzo yenye picha ya Freeman Mbowe ikiwa na maelezo ya kwamba Mwenyekiti huyo wa CHADEMA amemshukuru Rais Samia kwa kuungana na CHADEMA Kuomboleza msiba wa mzee Kibao, je taarifa hii ni ya kweli na chanzo chake ni The Chanzo.
Za asubuhi wanaJF.
Leo ikiwa ni Jumanne tulivu, wanaJF wakitokea kwenye weekend ndefu kuanzia Jumamosi.
Ninaanza kwa swali kama kichwa kinavyosema, Je unaifahamu CANVA?
Share designs uliyotengeneza kwa kutumia hii software ya CANVA.
Natumai kwa wale wote ambao hawaifahamu ni mwanzo mzuri wa...
“The NWO Perpetrators of the
Coronavirus pandemic hoax
have targeted India with the
COVID-19 Vaccine Bioweapon
to perpetuate the appearance
of Global Covid Outbreaks.”
— Intelligence Analyst & Former US Military Office
The Covid Con criminals did not even try to hide their genocidal deceit...
Habari wana JF
Natoa huduma za utengenezaji wa graphics kama ifuatavyo
Natengeneza LOGO kwa matumizi ya ofisi,biashara au matumizi binafsi.Bei ya kutengenezea logo ni Tsh 30,000 na ukinitafuta
tutazungumza kuweka mambo sawa
Natengeneza FLYER kwa ajili ya kutangaza biashara yako kwa Tsh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.