premature ejaculation

  1. MaT2B

    Jinsi Premature Ejaculation inavyonitesa

    Habari Wakuu, Nimeamua kushusha uzi huu hapa baada ya hiki kilichotekea leo. Kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa nimekuwa kwenye mahusiano na binti mmoja mzuri tuu. Katika kipindi hicho, tumeshakutana kimwili mara tatu, na mara zote hizo sijafanikiwa kuzidi dkk 3. TAtizo hili limeanza toka siku ya...
  2. frenderPH

    Tatizo la kuwahi kumwaga dawa yake ni nini?

    Wadau wa JF habari za J2, Naandika post hii kwa masikitiko makali sana ambayo yameshanipatia mawazo mpaka nahisi kuchanganyikiwa. Sasa ni wiki ya pili nimekumbwa na tatizo la kuwahi kumwaga pale nitakapokuwa kwenye tendo la ndoa, yaani haichukui hata dakika moja wazungu wanatoka. Hii hali...
Back
Top Bottom