Prince Rahim Al-Hussaini, anayejulikana pia kama Prince Rahim Aga Khan, ametangazwa rasmi kuwa Imam wa 50 wa Waismailia wa Kishia baada ya kufunguliwa kwa wosia wa baba yake, Prince Karim Aga Khan IV, Jumatano. Tangazo hilo limetolewa na Aga Khan Development Network (AKDN).
Uteuzi wake...