products

Dairy products or milk products are a type of food produced from or containing the milk of mammals, most commonly cattle, water buffaloes, goats, sheep, and camels. Dairy products include food items such as yogurt, cheese and butter. A facility that produces dairy products is known as a dairy, or dairy factory. Dairy products are consumed worldwide, with the exception of most of East and Southeast Asia and parts of central Africa.

View More On Wikipedia.org
  1. BLACK MOVEMENT

    Kituo cha Biashara Ubungo then asilimia 100 ya products ni imported tena kutoka China, inasikitisha mno

    Ni wajinga ndio wanaweza shangilia huu ujinga, haiwezekani kijengwe the so called kituo cha biashara na asilimia 100 ya products hapo ni kutoka nje na tunaona ni sawa kabisa tena tunashangilia na kushangilia kabisa kwamba sasa maisha yatakuwa rahisi sana. Ni sawa na Kariakoo pale na hivyo...
  2. Eli Cohen

    Wameshaanza kutengeza products kwa jina la baltazar

    min -me kunywa madude haya usipoteze penzi la Nyamwi255 🤣🤣
  3. Scoob102

    Best Hotel amenities (Room services products)

    Hotel Amenities kwa nusu bei!!! Tunauza Bidhaa za kipekee za kisasa. (International Standards) Zimetengenezwa mahsusi kwa Hoteli za Nyota 3 na kuendelea. Tunazo Dental kits(Mswaki na dawa yake), Sabuni za Mviringo za Kifahari, Shampoo, shower gels, Body lotion na Shower Cap. Tupigie sasa...
  4. GENTAMYCINE

    Picha nyingi za sasa za Simba App kila nikimwona Onana naona anafanya tu Maigizo na Matangazo ya Mo Products, ila za akifanya Mazoezi sizioni kabisa

    Uongozi wa Simba SC ninasema tena leo Kwenu kwa mara ya Pili tafadhali achaneni na Onana hafai kuwa Simba SC.
  5. GENTAMYCINE

    Picha nyingi za sasa za Simba App kila nikimwona Onana naona anafanya tu Maigizo na Matangazo ya Mo Products, ila za akifanya Mazoezi sizioni kabisa

    Uongozi wa Simba SC nasema tena leo Kwenu kwa mara ya Pili tafadhali achaneni na Onana hafai kuwa Simba SC.
  6. Pridah

    Wapi napata genuine CLINIQUE PRODUCTS kwa Dar?

    Habari. Naomba msaada kwa anayejua kwa Dar ni wapi naweza kupata CLINIQUE 3 STEPS SET isio fake. Kuna niliyonunua somewhere,sitataja duka ila nahisi ni fake sbb nimepaka siku moja tu asubuhi nakuta nimepatwa na huto tupele usoni😭😭 😭😭😭😭😭 Imebidi niitupe ila sijui kitu kingine cha kupaka usoni...
  7. Mwl.RCT

    SoC04 Beyond the Auction: Empowering Tanzania's Farmers Through Direct Market Access and Value-Added Products

    I. Tanzania's Agricultural Crisis: A Call for Transformation Each year, Tanzanian farmers lose an estimated 30% of their harvest due to inadequate storage facilities and limited access to markets. This staggering loss, amounting to millions of dollars in potential income, not only cripples...
  8. N

    Mwenye elimu ya stika hii ya TRA, naomba atueleweshe... mbona bidhaa za Bakhresa Food Products hazina?

    Ambaye ana elimu ya hizi stika za elekitroniki za TRA naomba atueleweshe. Mfano bidhaa ilikuwa inauzwa kiasi cha Tsh 100 ikawekwa stika bado inauzwa bei ileile tzs 100 hapo naongelea U-fresh ambazo ni barafu zinazozalishwa na Wachina. Hapohapo maji yalikuwa yanauzwa kiasi cha Tsh 500 ikawekwa...
  9. S

    Leo nimekuja kwenu kuuliza kuhusu hizi products zinaitwa Phyto Science products

    Habari za leo wanajamvi, tunamshukuru Mungu kwa yote anayotutendea. Leo nimekuja kwenu kuuliza kuhusu hizi products zinaitwa Phyto Science products nimefuatwa na ndugu yangu mmoja akinishawishi nizinunue kwa ajili ya matumizi ya Mzee wangu ambae anashida ya kupoteza kumbukumbu. Naomba...
  10. Jamii Opportunities

    Marine Products Value Chain and Value Addition consultant at Mwambao Coastal Community Network

    Position: Marine Products Value Chain and Value Addition consultant Scope of work 1. Background and survey design 6 days 1. Work with key Mwambao programmes leads in order to understand high level information about the communities where we are working and initial information of value chain...
  11. kekule benzene

    Tamu na chungu baada ya kujiunga na forever living products

    Habarini za weekend wakuu, leo nimepitia nyuzi mbalimbali zinazohusu forever living products, nikaamua na Mimi niweze kushare kitu kuhusu hii kampuni. Kwanza nakiri kuwa niliwahi kujiunga na biashara hii na nikadumu kwa miaka miwili tu Kisha nikaacha. Yafuatayo ni miongoni mwa niliyoyapata...
  12. Kilangi masanja

    Anker products special Threads

    Hello wadau habari zenu,nikiwa mdau na mnazi wa kampuni ndogo ndogo zinazochipukia,Nimetumia bidhaa mbili tatu ,ikiwemo charger na pia hizi Bluetooth speaker 🔊 ,nimejikuta naipenda na bei zao ni nzuri Sana. Tujaribu kushea experience hapa ya hizi bidhaa na ufanisi wake au changamoto zozote...
  13. ward41

    US GLOBAL PRODUCTS

    Baadhi ya bidha za Marekani zinazotamba ulimwenguni. . Iphone, Apple Computers, Ndege za Boeing, IBM, Intel, Microsoft, Facebook, Whatsapp, Coca-cola, PepsiCola, Colgate, Haya ukitoa gas na mafuta taja bidha Moja maarufu Duniani inazalishwa Russia
  14. MK254

    Kenya continues to lead in export of meat and meat products, as new Gulf frontier opens

    Did you know that Kenya is a lead exporter of meat and meat products to different destination markets? Yes. Apart from floriculture and horticultural export products that Kenya is widely known for, our Nyama is loved in other countries just as Kenyans love the famous local delicacy Nyama Choma...
  15. A

    Grace Products (Zoa Zoa) yaja na Dawa ya Meno

    Grace Products (Zoa Zoa) yaja na Dawa ya Meno Ile kampuni maarufu Bongo kwa utengenezaji wa bidhaa mbalimbali za vipodozi, maarufu kwa jina la Zoa Zoa imepiga hatua nyingine mbele kwa kutoa dawa ya Meno iitwayo Zoa Zoa ya Meno. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam...
  16. Kilangi masanja

    Nitapenda kupokea ushauri kuhusu chapa ya DOVE

    Wadau wa Jamii Forums habari zenu, nimekuja kwenu nikiwa na maswali ila pia nitapenda kupokea ushauri kuhusu chapa tajwa hapo juu. Nimekua nikiona tu hizi bidhaa za hii kampuni ya njiwa (Dove) mitandaon na sehemu mbalimbali. Nataka kujua je, hii chapa ni ya nchi gani kwa asili? Je bidhaa zao...
  17. luangalila

    Trade dispute: Uganda considers ban on Kenyan products

    Naona mzee Mseveni kaona isiwe tabu ajibu mapigo baada ya Kenya kuzuia uingizaji wa mayai, kuku na maziwa toka Uganda. Jaman hii kitu naona ni shida sasa,mchi za EAC zinapaswa kuandaa mfumo mzuri wa ufanyaji biashara pamoja. ==== December 14, 2021 Uganda is considering restricting some of...
  18. MK254

    Kenya has doubled its capacity to handle transit petroleum products to Uganda, Rwanda

    Completion of the new Kipevu Oil Terminal in Mombasa will see Kenya double its capacity to handle transit petroleum products to Uganda, Rwanda and Burundi starting January 2022 from the current 35,000 tonnes. The $385 million terminal can handle up to four vessels at a time compared with the...
  19. Jamii Opportunities

    IT Business Manager – VAS & Products at Airtel Tanzania

    About us Airtel Tanzania PLC is one of the leading providers of telecommunications and mobile money services with operations across Tanzania. Headquartered in Dar es Salaam, Airtel Tanzania ranks amongst the top 3 mobile services providers in Tanzania in terms of subscribers. Airtel Tanzania...
  20. F

    Wananchi wa NMB Bank wanapwaya kwenye kuelimisha wateja kuhusu products zao

    Habari wadau. Kwa zaidi ya mara 1. Nimegundua bank yetu ya makabwela inapwaya sana kwenye training za staff wao. Zamani kidogo Kuna siku nilienda kuprocess refund ya malipo online. Staff wote niliowakuta kila mmoja alikuwa haelewi process zilivyo. Na manager alikuwa ametoka. Ilibidi nimsubiri...
Back
Top Bottom