Hakuna ubishi tena kuwa Kikosi Kazi cha Profesa Mkandala na Zitto Kabwe ndio kimepelekea Mbowe kutolewa Jela na Mikutano ya hadhara kuruhusiwa
Wote tulimsikia Zitto Kabwe akimuombea msamaha Mbowe kwa Rais Samia Kwenye kikao cha Kikosi Kazi cha Prof Mkandalla mbele ya Viongozi wakuu wote wa...