Jumatano wiki hii watanzania watakuwa kwenye zoezi la upigaji kura kuwachagua wenyeviti wa serikali za mitaa,wajumbe wa serikali za mitaa na wenyeviti wa vijiji.
Kutokana na jambo hilo serikali imetangaza jumatano ya Novemba 27 kuwa siku ya mapumziko Ili kutoa nafasi kwa wananchi kushiriki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.