prof. sarungi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Mazishi ya Prof. Sarungi: Serikali ililazimisha azikwe Dar ili kumkamata Maria Sarungi

    Hii ndio sababu kubwa ya Prof. Sarungi kuzikwa Kinondoni. Kwa ubavu serikali iliingilia kati na kuteka msiba na kulazimisha Marehemu Sarungi kuzikwa Dar. Kwa muda mrefu Serikali ya Samia inamtafuta Maria Sarungi kwa udi na uvumba. Hivyo walijua kuwa kama wakilazimisha msiba uwe Dar ni rahisi...
  2. R

    Kwanini Mzee Wasira hajaenda msibani kwa Prof. Sarungi? Au naye karithishwa ugomvi? Wazee wenzake kutoka Mara tumewaona msibani

    Chama cha Mapinduzi kimejotenga na Prof. Sarungi 100%. Sidhani kama wakati akiwa hai alifahamu huu ugomvi uliopo. Lakini chakushangaza nikuona hata Mzee Wasira ambaye ni ndugu na mzee aliyekua pamoja na Prof amegoma kwenda msibani. Tafsiri ya hizi tabia zakushiriki msiba kwa kuambiwa tunazitoa...
Back
Top Bottom