prof. shivji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mohamed Said

    Prof. Shivji na Wengine Wamkumbuka Mwalimu Nyerere

    PROF. SHIVJI AMWELEZA MWALIMU NYERERE Ilikuwa siku ya uzinduzi wa nyumba ya Kumbukizi ya Mwalimu Nyerere baada ya kufanyiwa ukarabati. Baada ya uzinduzi wadau wa historia ya Mwalimu Nyerere tulijumuika kuzungumza. Kabla ya shighuli hii nilitembelewa na maofisa wa nyumba hii ya kumbukuzi...
  2. Pascal Mayalla

    Wito: Hoja za Kisheria za TLS, Prof. Shivji na wengine wote kupinga IGA, zisijibiwe Kisiasa kwa maneno matupu!, zijibiwe Kisheria kwa Vifungu!

    Wanabodi, Mjadala wa IGA ya DPW kupewa Bandari yetu ya Dar es Salaam, unazidi kushika kasi. Jana asubuhi nilipandisha bandiko hili Bunge, Serikali na Mahakama, Sio Mungu, Sio Malaika, Zinaweza Kukosea!. Zinapokosea, Zina Wajibu Kurekebisha na Kutenda Haki, Vinginevyo Karma Will Do kuhusu hiyo...
  3. ChoiceVariable

    Sheikh Mwaipopo amuonya Prof. Shivji, amwambia hajawahi kuunga mkono jambo lolote la Serikali toka enzi ya Mwalimu

    Naunga mkono hoja ya Shekh Mwaipopo. My Take Huyu Mjamaa Mzee Shivji ana mchango gani kwenye hii Nchi Hadi anastaafu? Anaejua atujuze.. Kiufupi hana tofauti na Lisu, kazi yao ni kupinga kila kitu. Watu wa hivi ni useless kwenye jamii. === Sheikh Mwaipopo amesema Shivji hajawahi kusapoti...
Back
Top Bottom