Moshi
mbunge wa jimbo La Moshi Vijijini Mkoani Kilimanjaro, Prof Patrick Ndakidemi amefanya ziara ya kukagua mradi wa ujenzi wa ofisi ya Tarafa ya Hai Mashariki iliyopo katika Kata ya Kimochi.
Mbali na kukagua ujenzi huo,Profesa Ndakidemi pia alizungumza na wananchi katika mkutano wa...