Professor (commonly abbreviated as Prof.) is an academic rank at universities and other post-secondary education and research institutions in most countries. Literally, professor derives from Latin as a "person who professes". Professors are usually experts in their field and teachers of the highest rank.In most systems of academic ranks, "professor" as an unqualified title refers only to the most senior academic position, sometimes informally known as "full professor." In some countries and institutions, the word "professor" is also used in titles of lower ranks such as associate professor and assistant professor; this is particularly the case in the United States, where the word professor is sometimes used colloquially to refer to associate and assistant professors as well. This colloquial usage would be considered incorrect among other academic communities. However, the unqualified title "Professor" designated with a capital letter nearly always refers to a full professor.
Professors often conduct original research and commonly teach undergraduate, professional, or postgraduate courses in their fields of expertise. In universities with graduate schools, professors may mentor and supervise graduate students conducting research for a thesis or dissertation. In many universities, full professors take on senior managerial roles such as leading departments, research teams and institutes, and filling roles such as president, principal or vice-chancellor. The role of professor may be more public-facing than that of more junior staff, and professors are expected to be national or international leaders in their field of expertise.
Ni kweli Tanzania tunahaja ya kujitanabaisha kimuziki na kuwafanya watu wajue utambulisho wa muziki wa Tanzania. Kuna mirindimo inapaswa kuwa utambulisho wa muziki wetu ila kiukweli hapa kwa singeli haujawaza sawa sawa. Mziki inapaswa kutambuliwa ni muziki wenye mirindimo na midundo yenye staha...
Habari wana JF;
Leo nikasema ngoja nisikilize kidogo nyimbo za zamani kuanzia 2010 kurudi nyuma, nikaingia mtandaoni kuzipakua hasa zile nilizokuwa nazipenda...
Sikuacha za Professor Jay, nikachukua kadhaa zikiwemo NDIO MZEE, KIKAO CHA DHARURA na NANG'ATUKA...
Asee jamaa yale aloyaimba mule ndio...
RIP Professor Kiah Duggins was among those lost in the mid-air plane collision at Reagan National Airport.
Professor Duggins was set to begin a new chapter as a professor at Howard University School of Law this fall. May her memory be a blessing. Rest in power Kiah 😔
The Unforgetable THROW BACK 🔥🔥🔥
Ilikuwa mwaka 2003 takribani Miaka 22 iliyopita nikiwa naingia kwenye ukumbi wa DIAMOND JUBILEE - UPANGA kwa kusukuma Mkokoteni 'KiZALI LA MENTALI' feat Sirnature kwenye uzinduzi wa Album yangu ya pili ya MAPINDUZI HALISI ambayo baadae ilikuja kutangazwa na...
PROFESSOR JAY FT. ADILI CHAPA KAZI , COMPLEX, AY & BLACK RHINO - NAWAKILISHA ( STUDIO BONGO RECORD)
Chorus ( Professor Jay)
Nawakilisha...!!!
Ofisini na masela ndani ya gheto
Nawakilisha ...!!!
Kwa ma ding vijana mpaka watoto
Nawakilisha...!!!
Kenya , Uganda 🇺🇬 na Tanzania 🇹🇿
Huu ni hosia...
Mara baada ya Rais Samia kutangaza kumpigia debe Professor Janabi ili kuiwakilisha Tanzania kwenye kinyang'anyiro cha ukurugenzi mkuu wa WHO kanda ya Afrika, watu wenye akili kubwa ikabidi waingie chimbo kufukua file lenye kubeba wasifu mbali mbali kumhusu Profesa Mohamed Janabi ili kuona ana...
PROFESSOR JAY -MACHOZI,JASHO NA DAMU
VERSE..1
Nashukuru Macho yangu mawili hayana upofu/ na mdomo upo wazi kukemea mambo maovu/ siku inapofika naona Heri ya jana/ maisha ya wabongo yanakuwa kama ya wanyama/ hiki ninachosema kila jicho linaona/ nina futa chozi la mnyonge kilio cha kila kona/...
MWANA FT. PROFESSOR JAY.
SONG. JUKUMU LETU.
VERSE. 1. (MWANA FA & PROFESOR JAY)
Professor jay:
Kilio la mgambo limelia kote nchini kwa wote Yaani mjini na vijijini/ Tanzania 🇹🇿 imegubikwa na wimbi la Umasikini /..
Mwana Fa:
Jukumu la kila mmoja kuchangia tufanye nini?
Professor jay:
Serikali...
NAWAKILISHA - PROFESSOR JAY ( VERSE) BY PROFESOR JAY
Swadata..!! Toka utotoni sauti inawika/ nami napiga goti kwa watu nakubarika/
Najenga imani kwa mashabiki wengi ma dingi/ vinapo chekechea na hata shule za msingi./
Yooh .!! Mam sapu nipoze moyo mama/ baadhi ya wanafiki naona sasa...
PROFESOR JAY - HAKUNA NOMA
Nimesimama kwenye haki/ kurumbana sitaki/ bado nipo na fani kama Saturn na Zebaki/ sitaki kujiuliza.. yupi..? ndugu yupi ..? adui/ sijui..!! Pata nasaha za ma bedui / ulipo lala wewe ndipo nime amka mimi/ ubongo wangu madini changanya umjini mjini/ kabla...
PROFESOR JAY - NAWAKILISHA..
Na bado mkwanja unatesa viwanja/ ni vichwa vya nyanja/ maumivu kote na ganja / tawala mic kijanja/ sasa mc vizuri muda hu kudanja/ na tupa mawe fikra miba vichaka vyote nachanja/ tafadhali kaa mbali .. kaa mbali ni hatari/ hapa utalamba tope maktaba kwisha labda...
Wakazi wa Hai wameonyesha uzalendo wa hali ya juu kwa kumchangia Professor Urassa kiasi cha Tsh milioni 500, ikiwa ni pamoja na gharama za kuchukua fomu ya kuwania ubunge katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.
Wananchi kutoka maeneo mbalimbali kama Rundugai, Weruweru, Nronga, Mnada, Kia, Masama...
Nguli Wa Muziki Ya Bongoflava Professor Jay Amekutana Na Alikiba Hii Ikiashiria Kuwa Kolabo Yao Iko Jikoni . Wiki Jana Nilipata Nafasi Ya Kuongea Na Professor Jay Akaniambia Kuna Kazi Wanawachilia Yeye Na Alikiba Mwezi Huu....
UKWAJU WA KITAMBO
0767542202
PROFESOR JAY FT CHID BENZ - MSILIE. ( PRODUCER LAMAR) 41 records..
Verse .. 1.
Yeah! Na muomba Mungu ili tuweze kuyakabili/ yanayojili mengi wahenga waliyatabili/ ona nyumba za ibanda leo zimengeuka biashara/ unapata neno la Mungu baadae tiba mbadala/ unafanya usichopenda Wana hubiri...
ALBUM YA PROFESOR JAY "MACHOZI ,JASHO NA DAMU
https://www.facebook.com/100064569174258/posts/pfbid0Eksw2k3qTSg3kzXd5H6BtXzEYYNiNtGTXA6K24WvMf2U6zETpBsMxgtCTF6L1u2yl/?app=fbl
"Machozi Jasho na Damu..
ni jina la kutaja albamu ya kwanza kutoka kwa msanii wa muziki wa kizazi kipya wa Kitanzania...
Rapa na Mwanasiasa, Professor Jay ame-share picha hii mpya na kuonesha maendeleo mazuri ya afya yake baada ya kuugua kwa muda mrefu na kuzushiwa kifo mara kadhaa akiambatanisha ujumbe uliowavutia wengi.
"Asante sana Mungu kwa zawadi ya uzima, na kunilinda siku zote za maisha yangu. Nipo...
“Kama tunatoa ripoti na kuna ubadhirifu na hatua hazichukuliwi, huo kwangu ni udhaifu wa Bunge. Bunge linatakiwa lisimamie na kuhakikisha kwamba pale penye matatizo, linahakikisha kuwa hatua zinachukuliwa. Sasa, sisi kazi yetu ni kutoa ripoti tu,” Professor Assad aliyekuwa kuwa CAG
Wakati...
DIZASTA NI MDOGO WA DAMU WA KING CRAZY GK ALIYECHAGUA KURAFIKIANA NA PROFESSOR JAY NA MR EBBO KATIKA MAKUZI YAKE.
1. Wawili hawa wana asili ya mkoa wa Mbeya lakini wamesikika zaidi wakiwakilisha Mzizima. Ununuapo kazi za Dizasta utakutana na jina Edgar MWAIPETA huku kaka yake akifahamika kwa...
Watoto wadogo ukiwauliza kwamba ukiwa mkubwa unataka kuwa nani? Utasikia vitu vingi sana ila ngoja akue sasa akutane na mwalim Dunia, wee utamkuta anachoma mkaa.
Story ya watoto inafanana na ya ndugu zetu kolokopo. Kipindi msimu unaanza walikua wanabwabwaja balaa, kwasasa naona kimya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.