professor jay

Joseph Haule (born December 29, 1975), popularly known by his stage name Professor Jay, is a Tanzanian hip hop recording artist, politician and former member of the Tanzanian parliament for Mikumi constituency. He is one of the prominent representatives of the "Bongo Flava" Tanzanian hip hop subgenre, which mixes elements from both Western hip hop and the Tanzanian tradition (including swahili lyrics as well as an activist attitude towards Tanzanian social issues such as HIV/AIDS, wealth, inequality, and political corruption).

View More On Wikipedia.org
  1. Mindyou

    Pre GE2025 Professor Jay: Watanzania kumshambulia AY kwa kuonekana kwenye majukwaa ya CCM sio sawa. Wasanii wengi pia wapo CHADEMA

    Wakuu Msanii Profesa Jay amesema baadhi ya Watu wanaowashambulia Wasanii kama Ay na wengine kutokana na kupanda kwenye majukaa ya Vyama vya siasa, hawawatendei haki kwasababu Tanzania ni nchi ya Kidemokrasia. Kwenye mahojiano maalum na Mtangazaji Millard Ayo, Profesa Jay ameeleza yafuatayo...
  2. RD07

    NYIMBO ZINAZOISHI (LIVING SONGS) ZA PROFESSOR JAY.

    Habari wana JF; Leo nikasema ngoja nisikilize kidogo nyimbo za zamani kuanzia 2010 kurudi nyuma, nikaingia mtandaoni kuzipakua hasa zile nilizokuwa nazipenda... Sikuacha za Professor Jay, nikachukua kadhaa zikiwemo NDIO MZEE, KIKAO CHA DHARURA na NANG'ATUKA... Asee jamaa yale aloyaimba mule ndio...
  3. beatboi

    Kumbukumbu kutoka kwa Professor Jay kwenye uzinduzi wa Albumya pili ya Mapinduzi halisi

    The Unforgetable THROW BACK 🔥🔥🔥 Ilikuwa mwaka 2003 takribani Miaka 22 iliyopita nikiwa naingia kwenye ukumbi wa DIAMOND JUBILEE - UPANGA kwa kusukuma Mkokoteni 'KiZALI LA MENTALI' feat Sirnature kwenye uzinduzi wa Album yangu ya pili ya MAPINDUZI HALISI ambayo baadae ilikuja kutangazwa na...
  4. ukwaju_wa_ kitambo

    Prof. Jay ft Black Rhino, Complex, AY and Adili Chapakazi - Nawakilisha

    PROFESSOR JAY FT. ADILI CHAPA KAZI , COMPLEX, AY & BLACK RHINO - NAWAKILISHA ( STUDIO BONGO RECORD) Chorus ( Professor Jay) Nawakilisha...!!! Ofisini na masela ndani ya gheto Nawakilisha ...!!! Kwa ma ding vijana mpaka watoto Nawakilisha...!!! Kenya , Uganda 🇺🇬 na Tanzania 🇹🇿 Huu ni hosia...
  5. ukwaju_wa_ kitambo

    Profesa Jay machozi jasho na damu

    PROFESSOR JAY -MACHOZI,JASHO NA DAMU VERSE..1 Nashukuru Macho yangu mawili hayana upofu/ na mdomo upo wazi kukemea mambo maovu/ siku inapofika naona Heri ya jana/ maisha ya wabongo yanakuwa kama ya wanyama/ hiki ninachosema kila jicho linaona/ nina futa chozi la mnyonge kilio cha kila kona/...
  6. ukwaju_wa_ kitambo

    Mwana FA ft. Professor Jay - Jukumu Letu

    MWANA FT. PROFESSOR JAY. SONG. JUKUMU LETU. VERSE. 1. (MWANA FA & PROFESOR JAY) Professor jay: Kilio la mgambo limelia kote nchini kwa wote Yaani mjini na vijijini/ Tanzania 🇹🇿 imegubikwa na wimbi la Umasikini /.. Mwana Fa: Jukumu la kila mmoja kuchangia tufanye nini? Professor jay: Serikali...
  7. The Watchman

    Pre GE2025 Professor Jay: 2025 Nakuja kuchukua ubunge wangu, Mapambano yanaendelea

    Joseph Haule (Prof Jay), akizungumza na baadhi ya wananchi kwenye moja ya mikutano ya kampeni Jimboni Mikumi mkoani Morogoro, kuelekea uchaguzi na Serikali za Mitaa utakaofanyika tarehe 27 Novemba 2024 Soma pia: Joseph Haule (Professor Jay) arudi kwenye ulingo wa Siasa, azindua Kampeni Mikumi...
  8. Waufukweni

    LGE2024 Joseph Haule (Professor Jay) arudi kwenye ulingo wa Siasa, azindua Kampeni Mikumi kwa kishindo

    Wakuu Yule Mbunge wa Binadamu na Wanyama kashika kipaza cha Siasa tena. Msanii na mwanasiasa maarufu, Profesa J, amerudi tena kwenye ulingo wa siasa kwa uzito, akizindua kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa leo Novemba 20 katika Kata ya Mikumi na Kata ya Ruaha. Pia, Soma: • Morogoro...
  9. ukwaju_wa_ kitambo

    Professo Jay - Nawakilisha ( verse by Professor Jay)

    NAWAKILISHA - PROFESSOR JAY ( VERSE) BY PROFESOR JAY Swadata..!! Toka utotoni sauti inawika/ nami napiga goti kwa watu nakubarika/ Najenga imani kwa mashabiki wengi ma dingi/ vinapo chekechea na hata shule za msingi./ Yooh .!! Mam sapu nipoze moyo mama/ baadhi ya wanafiki naona sasa...
  10. ukwaju_wa_ kitambo

    Prof. Jay - Hakuna Noma lyrics (final verse)

    PROFESOR JAY - HAKUNA NOMA Nimesimama kwenye haki/ kurumbana sitaki/ bado nipo na fani kama Saturn na Zebaki/ sitaki kujiuliza.. yupi..? ndugu yupi ..? adui/ sijui..!! Pata nasaha za ma bedui / ulipo lala wewe ndipo nime amka mimi/ ubongo wangu madini changanya umjini mjini/ kabla...
  11. ukwaju_wa_ kitambo

    Saimoni sayi " complex - wakilisha by professor jay .. ( verse)

    PROFESOR JAY - NAWAKILISHA.. Na bado mkwanja unatesa viwanja/ ni vichwa vya nyanja/ maumivu kote na ganja / tawala mic kijanja/ sasa mc vizuri muda hu kudanja/ na tupa mawe fikra miba vichaka vyote nachanja/ tafadhali kaa mbali .. kaa mbali ni hatari/ hapa utalamba tope maktaba kwisha labda...
  12. ukwaju_wa_ kitambo

    PROFESSOR JAY

    Nguli Wa Muziki Ya Bongoflava Professor Jay Amekutana Na Alikiba Hii Ikiashiria Kuwa Kolabo Yao Iko Jikoni . Wiki Jana Nilipata Nafasi Ya Kuongea Na Professor Jay Akaniambia Kuna Kazi Wanawachilia Yeye Na Alikiba Mwezi Huu.... UKWAJU WA KITAMBO 0767542202
  13. ukwaju_wa_ kitambo

    Prof. Jay ft LB Genious & Imam Abbas - "Na Bado"

    PROFESOR JAY FT LB GENIUS & IMAM ABAS " NA BADO" Natumia nafasi hi kudhibitisha kipaji changu/ nikiwa ni mkakati wa kuinua jina langu/ na huu sio mkwala tu ni msisitizo wenye nia/ kama kipaji kipo sioni wa kuziba njia/ nadhibitisha mc umahili kimiundombinu/ na jay na lb kwenye mpango ndani ya...
  14. ukwaju_wa_ kitambo

    Professor Jay & Chid Benz (msilie)

    PROFESOR JAY FT CHID BENZ - MSILIE. ( PRODUCER LAMAR) 41 records.. Verse .. 1. Yeah! Na muomba Mungu ili tuweze kuyakabili/ yanayojili mengi wahenga waliyatabili/ ona nyumba za ibanda leo zimengeuka biashara/ unapata neno la Mungu baadae tiba mbadala/ unafanya usichopenda Wana hubiri...
  15. ukwaju_wa_ kitambo

    Hevy weight Mc Professor Jay with "Machozi, jasho na damu album

    ALBUM YA PROFESOR JAY "MACHOZI ,JASHO NA DAMU https://www.facebook.com/100064569174258/posts/pfbid0Eksw2k3qTSg3kzXd5H6BtXzEYYNiNtGTXA6K24WvMf2U6zETpBsMxgtCTF6L1u2yl/?app=fbl "Machozi Jasho na Damu.. ni jina la kutaja albamu ya kwanza kutoka kwa msanii wa muziki wa kizazi kipya wa Kitanzania...
  16. Waufukweni

    Professor Jay: Nipo kamiligado tayari kwa mapambano

    Rapa na Mwanasiasa, Professor Jay ame-share picha hii mpya na kuonesha maendeleo mazuri ya afya yake baada ya kuugua kwa muda mrefu na kuzushiwa kifo mara kadhaa akiambatanisha ujumbe uliowavutia wengi. "Asante sana Mungu kwa zawadi ya uzima, na kunilinda siku zote za maisha yangu. Nipo...
Back
Top Bottom