Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa na Balozi nchini Marekani, Prof. Kennedy Gastorn Jumanne alifutwa kazi kutokana na kashfa ya ufisadi ambayo maelezo yake hayakuwekwa wazi.
Uamuzi huo wa ghafla ulikuja miezi kadhaa baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kumfuta kazi Waziri wa...
kashfa
kashfa ya rushwa
kennedyprofessorprofessorkennedy
rais samia
rushwa
serikali
tanzania
ubalozi
ufisadi
umoja wa mataifa
united nations
uwajibikaji