Nimeona thread's nyingi sana hapa JamiiForums kuhusu programmer's wa Tz wakikosolewa na kila mara jibu wanalolitoa ni kwamba wanalipwa pesa kidogo ndiyo maana wanafanya kazi mbovu.
Kwangu mimi naona hilo ni jibu la kipuuzi kuliko lote kwa maana mbona fani nyingine wanalipwa pesa ndogo lakini...