programming

  1. Hii ndio njia rahisi ya kutatua tatizo la kubadili syntax za programming language uliyoisoma ili kuwa mfumo unaoeleweka.

    Niaje wakuu… Ni hivi, ni rahisi kujifunza syntax za programming language yoyote ila shida kubwa ambayo inawasumbua watu wengi ni namna ya kubadili hizo concept na kuziweka kwenye mfumo wanaouhitaji. Na ndio maana nimekuja hapa niweze kukupa hii mbinu ambayo itakusaidia kwenye safari ya usomaji...
  2. Programming huwa inaishia kwenye if-else pamoja na data types.

    Habari zenu wakuu… Naomba Leo tuongee kuhusu mambo haya ya programming, kwa maana watu wengi huwa wanahisi programming ni ngumu na hii yote ni kutokana na kutokujua msingi na dhima ya programming ni ipi. Na ndio maana nimeandika hili bandiko ili kutoa degree ya kompyuta sayansi ya miaka mitatu...
  3. Award verification number na computer programming classes

    AWARD VERIFICATION NUMBER(AVN)ni namba inayomsaidia mhitimu wa Diploma kuitumia na kuweza kuendelea na masomo ya Degree.Ili kuipata matokeo ya mhitimu yanatakiwa yaweyametumwa na chuo husika anachosoma na baadae anaweza kuiomba,kwa matatizo na changamoto za AVN number piga 0759-124378
  4. Naomba ushauri nisome programming language gani?

    Wataalamu wa computer nimepata wakati mgumu nilipo taka kujifunza programming language kwaajili ya kutengeneza android+iOS app, desktop app, games na website nilishauriwa nianze na C programming . Kwa Sasa nimemaliza ila napata wakati mgumu kwani language zipo nyingi na ambayo ni the best...
  5. Avn na Programming Classes

    Wale ambao bado mnashida na AVN problems piga 0759124378. Pia natoa koz za computer programming, nipo Magari 7.
  6. Nahitaji kujifunza Programming

    Kama title inavosema wakuu Nataka kuwa developer mnaweza kunsaidia sehemu ya kuanzia Kama kuna website au group Fulani mnaweza kushare nami. Mungu awabariki🙏
  7. M

    Nina imani kubwa sana kuwa PROGRAMMING itakuja kunilipa ndo mana nimetumia Nguvu kubwa sana

    Kama kawaida hope mko poa Mimi napenda sana programming na nina baadhi ya projects nimesha zi develop Za desktop, mobile, na web based systems. Nimesoma chuo ila nilikua based on networking zaidi ila badae nikabased na Programming. Natamani niweke github yangu hapa ila sitaki...
  8. Programmer na developer wa Tz tunafeli wapi?

    1..Hivi ni kwanini hamna mobile games kali ambalo limetengenezwa na Mtanzania zaidi ya stupid puzzle games ambayo hata hayaeleweki??? 2.Kwanini hakuna app iliyotengenezwa na mtanzania ambayo hata mtu wa hapo kenya anaezakuitumia zaidi ya jamii forum?? 3.Kwa nini Tanzania programmer wanaishia...
  9. Wakali wa IT Programming, wazee wa Games na application za computer zinazohitaji machine ya maana hii hapa sio ya kukosa

    SOLD
  10. Mfundishe mtoto bado mdogo programming computer sio aje kukukuta ukubwani ndio maana tunazidiwa na wenzetu

    Programming computer ni mfumo wa lugha za vifaa ambavyo vyenyewe vinajua moja na ziro tu. ila kutokana na uwezo mfumo wa digital moja ziro ndio zinaweza kutambua mamilioni ya ziro na moja kwa wakati. Vifaa vyote tunavyotumia kuanzia simu,computer,mawasiliano kama internet na vyote kwa ujumla...
  11. Experience kutoka kwa mql5 programming language

    Hello wanajamii forum, Nahitaji kushare na nyie opportunity hii kuhusu mql5 programming language.
  12. Mafunzo Kwa vitendo SOMO la 10 java programming language

    Tazama mafunzo kwa vitendo upate uelewa mzuri kama ulikuwa unafuatilia mafunzo ya Java Video ya SOMO la kumi imekuwa ndefu sana kutokana na umuhimu wa kipengele katika Java Programming Language na mafunzo ya software development https://youtu.be/AqaUHU3imSE?si=ob7fOQ4SsyhCcDCX
  13. Njia za Kuimarisha Ujuzi wa Programming kwa Watoto wa Kitanzania: Kuanzia Shule za Msingi Hadi Vyuo Vikuu (Tupate Fluent Programmers)

    Utangulizi: Habari wana JF! Leo ningependa kushiriki nanyi mawazo juu ya jinsi Tanzania inaweza kuzalisha programmers wenye ujuzi wa hali ya juu kwa kuanzisha elimu ya programming kuanzia shule za msingi hadi vyuo vikuu. Kwa sasa, wanafunzi wengi wanakutana na programming mara ya kwanza wakiwa...
  14. Elewa kuhusu taaluma au ujuzi wa Programming

    Programming ni nini? Programming ni kitendo cha kuandika maelezo au kuunda maelekezo au kuunda maelekezo kwa kutumia lugha flani ya kompyuta kwa ajili ya kufanikisha malengo flani Mafanikio ya mtu anayefanya programming huwa ni kufanya development ya programu ya compyuta. Unaweza ukajifunza...
  15. C

    Mjadala kuhusu programmers wa Kibongo na programming kiujumla

    Wakuu kwema Mimi kama software developer nimeona mjadala mkubwa huku kuhusu programmer wa kibongo kuwa bongo hakuna ma programmer hichi sio kitu cha kweli bana wapo tena. Wengi ni wewe tuu hujapata mtu sahihi Tuanzie hapa anasema programmer wengi wa kibongo wanachukua template wana edit yes...
  16. Nilijifundisha programming kwa namna hii

    Nilijifunza matumizi ya internet kwanza Nikatumia muda mwingi kujifunza mambo mengi ya namna ya kunufaika mtandaoni Nikaona habar ya kumiliki website, kununua sina uwezo nikajifunza html kama week 4 nikachoka nikaaacha Nikaona kuna suala la kununua hosting siliwez Nikahamia c nikajifunza sana...
  17. Natoa kozi za C-Programming

    Hellw JF, Ninatumaini wote hamjambo. Kwa anayetafuta mwalimu wa computer programming na computer courses apige namba hizi 0759-124378.
  18. Free Cisco IT Networking, Cyber Security and Programming courses

    Hizi courses ni bure, unatakiwa tu kujisajili Hapa lazima unatoka uko bomba kabisa na ulichokisomea IT NETWORKING https://skillsforall.com/course/networking-basics?courseLang=en-US CYBER SECURITY https://skillsforall.com/course/cybersecurity-essentials?courseLang=en-US END POINT SECURITY...
  19. Naomba kufahamu computer specifications kwa mtu anayesoma Bsc. Cyber security

    .
  20. M

    Naomba kujuzwa kuhusu hizi Programming job skills

    Wakuu, samahini nilikuwa naomba niulize kwa wanaojuwa kati ya hizi programming skills job. 1. Full stack web developer, 2. Block chain developer, 3. Machine learning and Artificial intelligenece Ipi ni marketable sana hapa TANZANIA even OUTSIDE?
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…