Imeshindwa kwa sababu Chakula hakikutolewa baada ya wazazi kutokuchangia, na walimu wamewazuia wanafunzi kutokuondoka kwenda kula mpaka saa 11:30 jioni, hivyo kushinda shuleni na njaa.
Hata ule muda wa saa 8:30 masomo yanapoisha hawawaruhusu kwenda kupata chakula ili masomo ya jioni yaendelee...
Anonymous
Thread
bunda
chakulashulenichakulashuleni bunda
programuchakulashuleni
sekondari
Kumekuwa na changamoto ya mazingira ya chakula hasa katika hizi Shule za Serikali zinazowaweka Wanafunzi bwenini.
Mara kadhaa Wanafunzi wamekuwa wakilalamikia uhaba wa chakula lakini suala hili limekuwa halichukuliwi hatua yoyote wakati sisi wenyewe tumepita huko.
Binafsi nilipitia changamoto...
Anonymous
Thread
chakulashulenichakulashuleni rutabo
programuchakulashuleni
rutabo high school
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.